Saturday, July 28, 2012

Sustainable Development

The most important international standard, which supports environmental law, is the principle of sustainable development. The concept of the sustainable development has been defined as follows; Sustainable development means, development which seeks to produce sustainable economic growth while ensuring future generation’s ability to do the same by not exceeding the regenerative capacity of the nature. Also sustainable development was been defined as the management and conservation of the natural resources base, and the orientation of technological and institutional change in such a manner as to ensure the attainment and continued satisfaction of human needs for present and future generations However, the definition offered by Brundtl and report of 1987 is the one with which the concept has become most closely associated, it defined sustainable development as development that meets the needs of the present without compromising the ability of future generations to meet their own needs. Therefore, sustainable development ties together concern for the carrying capacity of natural systems with the economic, social and environment challenges facing humanity. In Tanzania, of EMA provides the principles of environmental management and obligation to give effect to environmental principles and among of them is sustainable development under section 7(3) (a) that, ‘the environment is the common heritage of present and future generations’ The origin of sustainable development: The concept of “sustainable development” originated in a realization that, the world’s environment, it economies, and the ways in which it treats it human and animal inhabitants, are all interlinked. The Brundtland report of 1987 was primarily concerned with securing different global things such as global equity, redistributing resources towards poorer nations whilst encouraging their economic growth. The report also recognized that achieving this equity and sustainable growth would require technological and social change. The international community first made a substantial effort to engage with the principle of sustainable development at the Earth Summit in Rio de Janeiro in 1992 and Agenda 21 in which Emphasizes that broad public participation in decision making is a fundamental prerequisite for achieving sustainable development was adopted which mapped out an ambitious and a wide-ranging program needed to move towards sustainability. A key element in that programme was that, individual countries should establish their own sustainable development strategies. In addition to that, principle, under The Rio Declaration of 1992 on Environment and Development provides inter alia that, “The right to develop must be fulfilled so as to equitably meet developmental and environmental needs of present and future generations. The international court referred for the first time to this need to reconcile economic development with protection of environment, which is aptly expressed in the concept of sustainable development in the case of Gabcikovo-Nagymaros Dam Case. The 2002 World Summit on sustainable development met in Johannesburg in order to reaffirm commitment to the Rio principles and affirming their will to assume a collective responsibility to advance and to strengthen the independent and mutually reinforcing pillars of sustainable development at national and global level. Therefore, according to the definition of World Commissioner on Environment and Development (WCED) there are two fundamental concepts tied on the principle of sustainable development; 1. The basic needs of humanity (food, clothing, shelter, and employment) must be meet 2. The limits to development are not absolute but are imposed by present States of technology and social organisation and by their impacts upon environmental resources and upon the biosphere’s ability to absorb the effect of human activities. The are main three needs (pillars) of sustainable development are economic development (competitiveness, trade, investment, finance and technology), environmental protection (natural resources management, environmental governance, protecting biodiversity, and tackling climate change) and social upliftment/ justice (poverty eradication, reduction of inequality, respect for human rights, democracy, good governance, and partnership with civil society). These three pillars are equal important and needs to be pursued simultaneously and with equal effort. For instance in African countries these three pillars are useful unless all the legs are equal in length and strength. Therefore, the purpose of sustainable development is to meet the needs of the present generation without compromising the ability of the future generation from meeting their needs, by doing the following; To start with, the need to protect and to preserve natural resources for the benefit of future generations (intergenerational equity principle): This talks about the relationship between two generations and to state the balance as far as utilization of natural resources is concerned. That there should be fairly utilization of natural resources in the three senses, one is conservation of options here means that the present generation has the obligation to protect and conserve options available example forestry resources, mining resources, water resources, natural and cultural heritage for the future generations . Two, conservation of quality that is conserving the quality of resources for the future or next generations that is to say if you found the planet (Earth) in a good and excellent condition then you have to leave it in the same condition and three is conservation of access this means each member of the generation should have the equal access to the natural resources that means if the present generation does not utilize well the resources, future generation will not have the equal access to the natural resources as they shall not be there. Hence in short is to put the balance between the present and future generations. For example Principle 3 provides the right to development must be fulfilled so as to equitably meet development and environmental needs of present and future generations. Moreover, the aim of exploiting natural resources in a manner which is sustainable, prudent, rational or wise, in other words sustainable use and conservation of natural resources (the principle of sustainable use), Sustainable use implies using renewable natural resources in a manner which does not eliminate or degrade them, or otherwise diminish their usefulness for future generations. Therefore sustainable use further implies using non-renewable (exhaustible) mineral resources in a manner which does not unnecessarily preclude easy access to them by future generations. Sustainable use also implies depleting non-renewable energy resources at a slow enough rate so as to ensure the high probability of an orderly societal transition to renewable energy sources. According to Principle 8 provides need to reduce and eliminate an unsustainable patterns of production and consumption and promote appropriate demographic policies as to achieve sustainable development. In addition Article 6 provides main obligations to general measures for conservation and sustainable use of components in biological diversity. Also in the case of Icelandic Fisheries Cases the court observed that, the provision of a growing body of global and regional treaties concerned with international watercourses, wild conservation, habitant protection, endangered species, specially protected marine areas, and cultural and natural heritage suggest that, conservation and sustainable use of natural resources and ecosystem have acquired a wide legal significance. Moreover Section 7(3) (a) provides the conservation and the management of the environment because the environment is the common heritage of present and future generations. Furthermore, it intended to promote equitable use of natural resources which implies that use by one state must take into account the needs of other states, (the principle of equitable use or intra-generational equity) for instance the use of lake Victoria’s water by the Tanzania for conducting agriculture activities must taken into account the needs of other states like Egypt who had exclusive right over the full utilization of lake Victoria’s water since the colonial period up to date. Not only that, but also the Convention on Biological Diversity of 1992 established a frame work under which developing countries are entitled to ‘a fair and equitable’ sharing of the benefit arising from the use of genetic resources found in their territory. Therefore the equitable use of natural resources redressing the imbalance in wealth between the developed and developing worlds and giving priority to the needs of the poor are important policy components of sustainability. Also the need to ensure that environmental considerations are integrated into the economic plans and other development plans, programs and projects and that development needs are taken into account in applying environmental objectives, (principle of integration). This means not simply the use of resources at a rate which could be maintained without diminishing future levels, but development which also takes environmental and social implications into account. Sustainable development entails the integration of economic, social and environmental objectives, to produce development that is socially desirable, economically viable and ecologically sustainable and this may involve the prevention of permanent environmental change. In addition to that Principle 4 ensures that, development decisions do not disregard environmental considerations. That is to say integration is a fundamental concept of sustainable development and has implication across a broad range of national and international policy. Also Article 4 (2) puts much emphasize on integration of environmental protection and economic development purposely to stimulate sustainable development. In Gabcikovo-Nagymaros Dam Case the court of law observed that, environmental protection shall constitutes an integral party of development process and can not be considered in isolation from it. Furthermore, sustainable development requires, the avoidance of pollution and degradation of environment, or, where they can not be all together avoided, are minimized and remedied. The polluter pays principle suggests that any person causing any injury or environmental hazards has the duty to pay for such damage. Therefore this is essential for economic policy in allocating the costs of pollution or environmental damage born by public authority and also has the implication for the development of international and national law on liabilities for damage. Therefore by regarding this principle sustainable development is encouraged. For instance in U.S. V. Canada (the Trail Smelter Case) due to Canada’s smelting activities which polluted air and leading to destruction of United States plantations, Canada was compelled by the court of law to pay damages to United States farmers for the lost the incurred. In achieving the development that meets the needs of the present without compromising the ability of future generations to meet their own needs, the negative impacts on the environment and on people’s environmental rights be anticipated and prevented, and where they can not be all together prevented, are minimized, remedied and optimized the positive impact on the environment. This can be achieved by conducting Environmental Impact Assessment (EIA). For instance in Tanzania there is different Laws (The Environmental Impact Assessment and Audit Regulations and part VI and VII of Environmental Management Act ) which regulate the Environmental Impact Assessment for the purpose of assisting in decision making and in protection of environment generally. The World Commissioner on Environment and Development (WCED) emphasizes governance and suggest the following basis requirements for the achievement of sustainable development: A political system that secures effective citizen participation in decision-making, this means that the government should make efforts to ensure citizens participation in mattes involving utilization of resources so as to have the common stand on proper utilization of resources which will be beneficial to the future generation. This will assist core components of society resource use, investment, technologies, institutions, consumption patterns come to operate in greater harmony with ecosystems. An economic system that is able to generate surpluses and technical knowledge on a self-reliant and sustained basis, an economic system that is able to generate surpluses will enhance the achievement of sustainable development due to the fact that some of the resources will be utilized while surplus is kept for future generation. On the other hand knowledge of self reliance is essential as it enable people to depend on various sources of earning rather than depending only on available resources. A production system that respects the obligation to preserve the ecological base for development; this means that industrial production should be done with great care so as to avoid damages of resources which will be beneficial to the future generation. It anticipates that, as far as possible, the use of any natural resources should be compensated for through processes such as reforestation and recycling of products, or by social improvements such as community betterment or reduced inequality. A social system that provides solutions to relieve the tensions arising from disharmonious development; this are to deal with those projects or plans which are likely to cause adverse impact to environment and consequently cease the goals of the World Commission on Environment and Development (WCED) to sustainable development and preserving environment for present and future regeneration, there fore the social system must come out with the solution that there should not be activities that are very likely to course harm to the environment. Also there are other principles which facilitate achievement of sustainable development as discussed hereunder: Principle of sustainable utilization and conservation of natural resources, this means every individual has the right to use those natural resources but, in order for those natural resources to reach the future generation those people are required to use natural resource in good manner. Therefore because of that it require special protection to be given to unique area, representative equal system and habitual of rare or endanger species, ecosystem and land, atmospheric and marine resources had to be managed to achieve optimum sustainable productivity without endangering other ecosystem species. Polluter pays principle, the principle suggests that any person causing any injury or dangerous to the environment has the duty to pay for such damage. That means the polluter pays principle is a essential on economic policy for allocating the cost of pollution or environmental damages borne by public authorities in regarding the polluter pay principle, the entire society should not pay for the pollution caused by few people, taking into account the approach that the polluter should in this principle bear the coast of pollution with due regard to the public interest and without distorting international trade and investment. For example Principle 16 provides inter alia that, the polluter should, in principle, bear the cost of pollution, with due regard to the public interest and without distorting international trade and investment. Pre-cautionary principle, any harm or damages which might affect present as well as future generation the measure should be taken in order to avoid any damages which may occur within the environment. In the case of U.S. V. Canada (the Trail Smelter Case) the principle suggest that, an obligation may arises if there is an actual and serious harm which is likely to recur. Also the in United Kingdom V. Albania (Corfu channel case) the obligation also arises when there is no risk to the other state. Meaningful, in order to protect the environment, the pre-cautionary approach shall be wide applied by the state according to their capabilities. That means where there are threats of serious or irreversible damages; lack of full scientific certainty shall not be used as reasons for postponing cost-effect measure to prevent environment degradation. In Common but differentiated responsibility principle, the principle suggests that, under sustainable development there must be a contribution between developing countries and developed countries toward the global environment problem. That been the case developed countries because of their technologies has the more pressure to combat the environmental degradation other than the developing countries. Moreover the principle suggests that, state have common but differentiated responsibility, in order to insure the sustainable development that mean there must be the contribution of developing and developed country or state. Principle of notification, the principle suggests that there should transfer of sufficient information between states in case of any emergence on environment to enable them the state at risk to minimize the damages and take whatever measure of self protection. For example Rio Declaration of 1992 codified the duty of the state in situation where natural disasters or other emergence are likely to produce sudden harmful effect on the environment. In United Kingdom V. Albania(Corfu channel case) Albania was held responsible for damage caused to the British Warships because Albania had a duty to notify or warn them of mines in territorial waters. Principle of prevention and protection of environment, the principle states that the need for sustainable development must be the protection and prevention of the environment. This means that the prevention must be the golden rule for the environment both economic and ecological reasons. The principle places the limits on different activities which may cause damage or injury to the environment. The prevention principle requires action to be taken at any early stage if possible before the damages could occur. That is to say it prohibits the activities which may cause environmental damages and hazards. For example under Article 206 the principle of prevention provides the use of special techniques such as a risk analysis after the assessment of potential effect of planned activities, when state have reasonable ground for believing that planned activities under their jurisdiction or control may cause sustainable pollution of or significant and harmful changes to the marine environment. Principles of state Sovereignty, in this, the states have right to utilize their resources but in such manner that it does not cause degradation and without affecting other nations. The state have the authority of putting the obligatory Rule for its territory for the purpose of exploring, conserving and managing Natural resources, scientific research for the protection and preservation of Environment. Under the Sovereign principle, states have, in accordance with the Charter of the United Nation and the Principles of international law, the Sovereign right to exploit their own resources pursuant to their own policies . Principle of Co operation, generally the states are required to cooperate in international matters concerning the environmental protection and improvement which should be handled in a cooperative spirit by all countries on an equal footing . ’ Moreover, Rio Declaration proclaims that; “state shall cooperate in a spirit of global partnership to conserve, protect and restore the health and integrity of the Earth’s ecosystem .In view of the different contribution to global environmental degradation. States have common but differentiated responsibility. The developed countries acknowledge the responsibility that they bear in the international pursuit of sustainable development in the view of the pressures their societies place on the global environment and of technologies and financial resources they command” However, despite the need of having sustainable development, and well propounded principles for making the achievement of sustainable development, there are some constraints that most of the developing countries (Tanzania) face in achieving the same as discussed hereunder: Economic pressure: Tanzania, like many other developing countries, is keen to attract foreign investments to foster the country’s socioeconomic development. This competition among developing countries to attract foreign investment preference has in many cases sacrificed policies geared towards sustainable development for short-term economic gains. And thus many project are allowed to be carried on without considering and assessing the detrimental effect the said project may pose on the environment. Corruption: implementation of some principles, for instance polluter pays principle, fail because of corruption. Those who pollute the environment go without punishment, and developers who cause environment degradation are let to go free with it without rehabilitating the area as required by the law. Poor technology: this has made it difficult to access natural resources without posing damages, in other hand it leads to failure in taking reasonable measures in the protection of, and rehabilitating the already polluted environment. In most cases the developing countries depends on developed nation for more advance apparatus for environmental protection. For instance, Tanzania failed to combat fire disaster that destroyed heavy forest in Mafinga district, in Iringa Region. Insufficiency of law and its implementation: to start with international convention providing for sustainable development, unless incorporated in the municipal laws; they lack legal force and thus become difficult to enforce them. On the hand the municipal laws are not very clear in dealing with the issue of sustainable development. And the very few laws available are not implemented to the required standard. Over population: lack of family planning in most developing countries has lead to the rapid increase of population and therefore increased the demand of utilizing the natural resources, for area for cultivation, settlement and investment to purposely fulfill their needs, thus increasing environmental degradation. Civil wars: massive nuclear weapons used in civil wars have largely contributed to the difficulties in achieving sustainable development a good example is The Democratic Republic of Congo (DRC). Areas set for refugees have destroyed ad environmental degradation has increased. Example is refugee camps in Kigoma in Tanzania. Lack of public awareness: The public is not aware of the importance of sustainable development. Therefore when required to give their opinions and participate in decision making, they rarely do so, and even if they participate, they never bother to make a follow up to see whether or not their opinions has been considered by the minister in his decision making. Conclusion: Thus sustainable development can viewed in the perspective of having the main three needs (pillars) of sustainable development are economic development (competitiveness, trade, investment, finance and technology), environmental protection (natural resources management, environmental governance, protecting biodiversity, and tackling climate change) and social justice (poverty eradication, reduction of inequality, respect for human rights, democracy, good governance, and partnership with civil society). These three pillars are equal important and needs to be pursued simultaneously and with equal effort. For instance in African countries these three pillars are useful unless all the legs are equal in length and strength.

Sunday, July 22, 2012

Health to Tanzanians living in Tanzania

The Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) through National Health Policy places a great emphasis on a well performing Health Information Systems (HIS). That is why the government is in favor with this new approach of managing Health Management Information System (HMIS) as program hoping that this will promote Efficiency in all aspects of the system the supply of quality information on timely bases for different users this will enhance the whole process of strengthening HIS The HI&R staff will improve their skills good working relationship with different partners. Demand for health information is currently highly influenced by the health sector reforms which focus on decentralization. That is health systems are managed more closely to the level of service delivery by the people in their respective localities. This shift in functions between the central and peripheral levels generates new information needs and calls for an in-depth restructuring of information systems, with changing data collection, processing, analysis, and dissemination requirements. Health sector reforms also present major challenges to the need for standardization and quality of information, which will need to be addressed by the central level. Other factors which are promoting demand introduction to budget support, implementation of local and international policy strategies etc. Unfortunately, sound information is rarely available in low income developing countries like Tanzania due to under-investment. As a result of this health information systems have evolved in an erratic, piecemeal way, fashioned by administrative, economic, legal or donor pressures. This has resulted in fragmentation of health information systems. Health information systems are further fragmented by disease-focused programs demands which often relate to donor requirements and international initiatives directed to specific areas such as malaria, HIV/AIDS or tuberculosis.

Labour Market Policies and Regulations

Access to well-paid decent work can greatly reduce the vulnerability of individuals and their families. Access to decent and well-paid work by adults reduces the necessity for children to work and thus frees them up to take advantage of educational opportunities. The Ministry of Labour, Employment and Youth Development oversees national employment policies and programmes that promote employment growth as a national priority. The National Employment Policy (2007) operationalised through the National Employment Creation Programme aims to enable all participants in the labour force to obtain full and productive employment, and to ensure equal access to decent employment opportunities for men and women, including vulnerable groups such as youth, the disabled and people living with HIV/AIDS who are well enough to work. In addition, the Youth Employment Action Plan was developed to implement the employment objectives of the National Youth Development Policy. The overall thrust of these initiatives is to increase formal and informal sector employment through increases in investment and the provision of a favourable regulatory environment. A time-bound national programme against child labor has also been implemented with the aim of reducing the proportion of children engaged in child labor from 25 percent to less than 10 percent by 2010, and to ensure the right to schooling for all Tanzanian children. In addition, the government established the Occupational Health and Safety Authority (OHSA) in 2001, which is mandated to promote, oversee and enforce workplace health and safety practices. A national occupational health and safety policy is currently being developed. The policy will cover workplace registration, statutory inspections, risk assessment, training and information on occupational health and safety, occupational health medical examinations, environmental monitoring, and investigation of accidents. These measures unfortunately apply only to formal workplaces, and thus exclude the majority of the employed and most employed women in particular.

Tuesday, July 10, 2012

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/B/183 29 Juni, 2012 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/B/183 29 Juni, 2012 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 569 mbalimbali kwa Waajiri (Taasisi za Umma) kama ifuatavyo: Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya Maji, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Iringa, Kigoma, Mwanza (Geita), Mara, Morogoro, Rukwa, Ruvuma, Tanga, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, Lindi, Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Chamwino, Chunya, Kahama, Kishapu, Kiteto, Kongwa, Kyela, Magu, Maswa, Mbozi, Meatu, Monduli, Mbinga, Mbulu, Mpanda, Msalala, Mpwapwa, Rufiji, Rungwe, Simanjiro, Shinyanga, Songea, Tandahimba, Ukerewe na Halmashauri ya Mji Njombe. Aidha, tangazo hili linapatikana kwenye tovuti zifuatazo: www.ajira.go.tz, www.utumishi.go.tz na www.pmoralg.go.tz NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE. i.Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wasiozidi umri wa miaka 45. ii.Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa. iii.WAOMBAJI KAZI KWA NAFASI ZA AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA II, AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA III, AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA II, AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III NA AFISA MTENDAJI MTAA DARAJA LA III AMBAO WALIOMBA NAFASI KAMA HIZO KATIKA TANGAZO LA TAREHE 25 MEI 2012 HAWAPASWI TENA KUOMBA NAFASI HIZI iv.Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo. v.Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili. vi.Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika. vii.Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka/kupotea. - Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates. - Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI - Computer Certificate - Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards) - Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma. viii.“Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA. ix.Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. x.Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010. xi.Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi zitapelekea wahusika watachukuliwa hatua za kisheria. xii.WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA MAENEO MENGINE. xiii.Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 14 Julai, 2012 xiv.Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI. xv.Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo. Katibu, AU Secretary, Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment Utumishi wa Umma, Secretariat, SLP.63100, P.O.Box 63100 Dar es Salaam. Dar es Salaam Nafasi hizo (569) za kazi mbalimbali katika Utumishi wa Umma mbalimbali ni kama ifuatavyo: 1.0 MHAIDROJIOLOJIA DARAJA LA II (HYDROGEOLOGISTS GRADE II ) – NAFASI 16 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Katibu Tawala Mkoa wa Geita 1.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kukusanya Takwimu, kutafiti pamoja na kutayarisha Taarifa za Kihadrolojia zenye maelezo fasaha ya kitaalaamu • Kujenga (installation ) na kukarabati vifaa vya utafiti wa maji chini ya Ardhi na kukarabati vituo vya kuratibu rasilimali za maji chini ya ardhi • Kusimamia uchimbaji wa visima vya maji na kuhakiki uwezo wa kisima kutoa maji. (Pumping Test) • Kukusanya sampuli za maji na udongo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kimaabara. • Kutathimini (monitoring )rasilimali za maji chini ya ardhi kwenye sehemu za kidakio cha maji ( sub catchment) 1.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya Jiolojia au jiofizikia na haidrolojia kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. • Wawe na ujuzi wa kutumia Kompyuta. 1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E. 2.0 MHANDISI DARAJA LA II - MAJI (WATER ENGINEER GRADE II) – NAFASI 3 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Geita, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 2.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa (Professional engineer) na bodi ya usajili ya Wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa. • Kufanya ukaguzi wa Miradi ya Maji • Kufuatilia utekezaji wa Sheria, Kanuni za Maji • Kutayarisha bajeti ya mwaka ya Maji • Kusimamia na kuratibu kazi za Maji zinazotolewa na makandarasi 2.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uhandisi wa Rasilimali za Maji kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta. 2.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi. 4 3.0 MHIFADHI WANYAMAPORI II – NAFASI 13 (IMERUDIWA) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Wizara ya Maliasili na Utalii 3.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi au mbuga za wanyama • Kusimamia utekelezaji wa utaratibu wa uwindaji na utalii • Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya wanyama hatari. • Kukusanya na kulinda nyara za Serikali • Kufanya usafi na ulinzi • Kubeba na kutunza vifaa vya doria • Kudhibiti uingiaji na utokaji wa watu na mali kwenye hifadhi • Kutunza vielelezo vya ushahidi vya nyara • Kudhibiti wanyamapori waharibifu • Kukagua vibali na leseni za matumizi ya wanyamapori. • Kudhibiti mioto mikali kwenye mapori. 3.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kidato cha IV au Kidato cha VI • Wenye Stashahada/Astashahada ya Uhifadhi wa Wanyamapori kutoka Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. • Waliopitia mafunzo ya nidhamu na ukakamavu yanayotolewa na vyuo vya wanyamapori watapewa kipaumbele. Wale watakaopata nafasi lakini hawana mafunzo hayo, watapewa mafunzo husika kama sehemu ya mafunzo ya “Induction”. 3.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.B na C kwa mwezi. 4.0 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA I (ASSISTANT TUTOR GRADE I) – NAFASI 35 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto 4.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufundisha masomo ya fani mbalimbali zinazofundishwa katika vyuo • Kuandika mtiririko na mpangilio wa masomo • Kusimamia masomo ya vitendo • Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani 4.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada kutoka Chuo Cha Maendeleo ya Jamii (Rungemba au Buhare) au Chuo kingine kinavyotambuliwa na Seikali AU • Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada kutoka Chuo Cha Ufundi kinachotambuliwa na Seikali katika fani zifuatazo: i. Uashi (Masonry) - Nafasi 5 ii. Useremala (Carpentry) - Nafasi 6 iii. Uunganishaji Vyuma (Welding) - Nafasi 4 iv. Ushonaji (Sewing)– Nafasi 5 v. Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics) – Nafasi 5 vi. Umeme (Electrical) – Nafasi 5 vii. Kompyuta (Computer) – Nafasi 5 4.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B. kwa mwezi. 5.0 AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA II (WARD EXECUTIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 55 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Maswa, Mbulu, Meatu, Rungwe na Shinyanga 5.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atakuwa Mtendaji Mkuu wa Kata na kiungo cha Uongozi kwa Idara zote katika kata na atashughulikia masuala yote ya kata • Atakuwa Mhamasishaji mkuu wa Umma katika mikakati mbalimbal.i ya uzalishaji, mali, kuondoa njaa na Umasikini. • Atakuwa ni Katibu wa kamati ya maendeleo ya kata. • Ataratibu na kusimamia upangaji wa shughuli za maendeleo ya kata, vijiji na Mtaa. • Atatafsiri sera na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogondogo katika Kata yake.Atamsaidia Mkurugenzi Kuratibu na kusimamia shughuli za Uchaguzi katika Kata. • Kumsaidia na kumwakilisha Mkurugenzi katika kusimamia maendeleo ya eneo lake. • Kusimamia utendaji kazi wa wataalamu na watendaji wengine katikangazi ya Kata. • Kuratibu na kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha kwa mkurugenzi na nakala kwa Katibu Tarafa. • Atakuwa mwenyekiti katika vikao vinavyowahusisha wataalamu na watendaji wa vjiji, na NGO’S katika kata yake. • Atakuwa Msimamizi na mratibu wa takwimu zote zinazokusanywa katika vijiji, vitongoji, na kata yake. 5.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya Sanaa yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), 6 Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 5.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D. kwa mwezi. 6.0 AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA III (WARD EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 68 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmshauri ya Wilaya ya Chunya, Kongwa, Kyela, Mbozi, Msalala, Mvomero, Shinyanga na Kishapu 6.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atakuwa Mtendaji Mkuu wa Kata na kiungo cha Uongozi kwa Idara zote katika kata na atashughulikia masuala yote ya kata • Atakuwa Mhamasishaji mkuu wa Umma katika mikakati mbalimbali ya uzalishaji, mali, kuondoa njaa na Umasikini. • Atakuwa ni Katibu wa kamati ya maendeleo ya kata. • Ataratibu na kusimamia upangaji wa shughuli za maendeleo ya kata, vijiji na vitongoji. • Atatafsiri sera na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogondogo katika Kata yake.Atamsaidia Mkurugenzi Kuratibuna kusimamia shughuli za Uchaguzi katika Kata. • Kumsaidia na kumwakilisha Mkurugenzi katika kusimamia maendeleo ya eneo lake. • Kusimamia utendaji kazi wa wataalamu na watendaji wengine katika ngazi ya Kata. • Kuratibu na kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha kwa mkurugenzi na nakala kwa Katibu Tarafa. • Atakuwa mwenyekiti katika vikao vinavyowahusisha wataalamu na watendaji wa vjiji, na NGO’S katika kata yake. • Atakuwa Msimamizi na mratibu wa takwimu zote zinazokusanywa katika vijiji, vitongoji, na kata yake. 6.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne au sita na kuhudhuria mafunzo ya Stashahada yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Stashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 6.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS C kwa mwezi. 7 7.0 AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA II (VILLAGE EXECUTIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 25 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, Maswa na Rombo. 7.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Kijiji na Kamati zake katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo. • Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Kijiji na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya kijiji • Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Kijiji. • Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya kijiji • Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Kijiji. • Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Kijiji. • Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuziwasilisha kwenye Halmashauri ya Kijiji na baadae kwenye kata . • Ataongoza vikao vya maendeleo ya Kijiji vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake. • Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali. • Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi. • Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Kijiji. • Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika kijiji. 7.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye elimu ya kidato cha IV na VI waliohitimu Stashahada ya kawaida katika fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Stashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 7.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS C kwa mwezi. 8.0 AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III (VILLAGE EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 181 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Kyela, Magu, Mbozi, Mbulu, Msalala, Meatu, Mvomero na Rungwe 8.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Kijiji na Kamati zake katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo. 8 • Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Kijiji na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya kijiji • Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Kijiji. • Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya kijiji • Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Kijiji. • Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Kijiji. • Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuziwasilisha kwenye Halmashauri ya Kijiji na baadae kwenye kata. • Ataongoza vikao vya maendeleo ya Kijiji vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake. • Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali. • Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi. • Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Kijiji. • Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika kijiji. 8.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Elimu ya Kidato cha Nne au cha sita waliohitimu Astashahada (Certificate) katika Fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Astashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 8.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B kwa mwezi. 9.0 AFISA MTENDAJI MTAA DARAJA LA III (MTAA EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 8 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Kahama na Shinyanga. 9.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Mtaa na Kamati zake katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo. • Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Mtaa na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya Mtaa • Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Mtaa • Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Mtaa • Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Mtaa. • Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Mtaa 9 • Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuziwasilisha kwenye Halimashauri ya Mtaa na baadae kwenye Kata. • Ataongoza vikao vya maendeleo ya Mtaa vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake. • Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali. • Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi. • Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Mtaa. • Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika Mtaa. 9.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Elimu ya Kidato cha Nne au cha sita waliohitimu Astashahada (Diploma) katika Fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Atashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 9.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS B kwa mwezi. 10.0 SEKTA YA MIFUGO 10.1 DAKTARI WA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY OFFICER GRADE II ) – NAFASI 4 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Chato 10.1.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kutoa huduma za Afya ya Mifugo • Kufanya Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo katika eneo au sehemu alipo. • Kutayarisha na kusimamia mipango ya kuzuia kuthibiti, na kutokomeza magonjwa ya mifugo katika eneo lake. 10.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali Nambao wamesajiriwa na bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini. 10.1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS F. kwa mwezi MADARAKA • Anaweza kupewa majukumu ya/ Madaraka ya kuwa DSMS AU DVO 10 10.2 AFISA MIFUGO MSAIDIZI DARAJA LA II (LIVESTOCK FIELD OFFICER GRADE II) – NAFASI 14 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Lindi na Halmashauri ya Wilaya ya Chato 10.2.1 MAJUKUMU YA KAZI • Atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwa wafugaji wa eneo lake. • Kwa kushirikiana na wakaguzi wa Afya, atakagua nyama na machinjio mara kwa mara. • Atakusanya takwimu za nyama na mazao yatokanayo na mifugo kama ngozi na kuandika ripoti • Atatibu magojwa ya mifugo chini ya usimamizi wa Daktari wa Mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugo dhidi ya magonjwa • Atatembelea wafugaji mara kwa mara na kuwapa ushauri fasaha wa kitaalamu katika eneo la kazi • Atakusanya takwimu zote za maendeleo ya mifugo katika eneo lake. • Atashauri na kusimamia ujenzi wa majosho, machinjio, vibanio, na miundo mbinu inayohusiana na ufugaji bora. • Atasimamia uchanganyaji wa dawa ya josho. • Atahusika na uhamilishaji (Artificial Insermination) na uzalishaji (Breeding) wa mifugo kwa ujumla • Atashauri wafugaji kuhusu mbinu bora za kuzalisha maziwa na utunzaji wa ndama. • Atafanya kazi zingine za fani yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi. 10.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya mifugo kutoka chuo cha kilimo na mifugo (MATI AU LITI) au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali 10.2.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi 11.0 SEKTA YA KILIMO 11.1 AFISA KILIMO DARAJA LA II (GRADE II ) – NAFASI 2 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 11.1.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea. • Kukusanya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi. • Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila wiki/kila mwezi. • Kuendesha mafunzo ya wataalam wa kilimo. • Kufanya ukaguzi wa ubora na matumizi ya pembejeo na zana. • Ufuatiliaji wa mwenendo wa soko la mazao ya biashara. 11 • Kuendesha mafunzo juu ya hifadhi bora ya udongo na maji. • Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau. • Kuandaa/kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao. • Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao mengine. • Kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora. • Kuandaa, kutayarisha kufunga na kusambaza mbegu bora. • Kufanya majaribio ya magonjwa kwenye mbegu. • Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na watafiti wa mbegu kabla ya kupitishwa. • Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mboga, matunda, maua na viungo. • Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani. • Kufanya utafiti mdogo mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika sehemu ya kilimo cha umwagiliaji. • Kufanya utafiti wa udongo. • Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima/wamwagiliaji. • Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti. • Kuendesha/kusimamia vishamba vya majaribio vya mbegu na uchunguzi maabara ili kuondoa utata juu ya mbegu. 11.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya kilimo au Shahada ya Sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. 11.1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi. 11.2 AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA II (GRADE II ) – NAFASI 3 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru na Halmashauri ya Mji Njombe 11.2.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kushirikiana na watafiti kuendesha vishamba vya majaribio. • Kukusanya/kuhifadhi takwimu za majaribio. • Kuwafundisha wakulima mbinu za kilimo bora. • Kuwafikishia wakulima matokeo ya utafiti. • Kuwafundisha wakulima mbinu bora za kilimo, matumizi ya mbolea na madawa, pembejeo za kilimo. • Kukusanya na kutunza takwimu za mazao na bei kwa wiki, mwezi, robo na mwaka ngazi ya halmashauri. • Kukusanya takwimu za mvua. • Kushiriki katika savei za kilimo. 12 • Kushirikiana na vikundi vya wakulima kuhusu matatizo na teknolojia sahihi za kutumia. • Kupanga mipango ya uzalishaji. • Kupima uotaji wa mbegu na kusimamia taratibu za ukaguzi. • Kutathmini na kusavei maeneo ya vyanzo vya maji kwa ajiili ya kuhifadhi. • Kutunza miti mizazi. • Kuwatambua wasambazaji wa pembejeo. • Kutoa mafunzo ya lishe kwa wakulima. • Kufanya vipimo vya ubora, unyevunyevu na uotaji wa mbegu. • Kusimamia taratibu za ukaguzi. • Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea. • Kusimamia shughuli za kila siku za majaribio ya kilimo. • Kuwaelimisha wakulima juu ya matumizi bora ya udongo na maji. • Kutoa ushauri wa kilimo mseto. • Kuandaa sheria ndogo za hifadhi ya mazingira. • Kutoa taaluma ya uzalishaji wa mboga, matunda, maua na viungo Anaweza kuwa Bwana Shamba wa Kata/Kijiji. 11.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Sita (VI) wenye stashahada ya kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. 11.2.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi. 12.0 SEKTA YA AFYA 12.1 DAKTARI DARAJA LA II (GRADE II ) – NAFASI 4 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Morogoro na Halmashauri ya Wilaya ya Chato 12.1.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya watoto, magonjwa ya kina mama na upasuaji wa dharura • Kutoa na kusimamia elimu ya afya pamoja na kuboresha afya ya jamii katika Wilaya na Mikoa au eneo lake la kazi • Kuchunguza, kufatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa • Kutunza takwimu na kuzitumia kama inavyoelekezwa katika misingi ya MTUHA • Kupanga na kutathmini huduma za afya katika eneo lake la kazi • Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo lake la kazi • Kusimamia na kuelekeza wafanyakazi walio chini yake • Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyopo eneo lake la kazi 13 • Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo • Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake • Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement) • Kutoa huduma za outreach katika Wilaya/Mkoa wake • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/ Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali waliomaliza mafunzo ya kazi “Interniship” ya muda usiopungua miezi kumi na miwili na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika) 12.1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS E. kwa mwezi. 12.2 DAKTARI MSAIDIZI ( GRADE II ) – NAFASI 4 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Halmashauri ya Wilaya ya Chato na Rungwe 12.2.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kutambua matatizo ya wagonjwa na kutoa huduma za tiba, kinga na huduma kwa kina mama na watoto • Kufanya upasuaji wa dharura na wa kawaida • Kupanga, kutekeleza na kutathmini huduma za afya sehemu zao za kazi • Kupanga utekelezaji wa mipango ya kukabili majanga na dharura mbalimbali • Kufanya utafiti katika maeneo mbalimbali ya afya ili kuboresha utoaji huduma • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Stashahada ya juu ya Tiba ya miaka isiyopungua miaka miwili (2) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali walio na leseni ya kufaaynya kazi kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika) pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu 12.2.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS C kwa mwezi. 12.3 AFISA AFYA MAZINGIRA DARAJA LA II (ENVIRONMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 1 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa 12.3.1 MAJUKUMU YA KAZI 14 • Kutoa ushauri na kusimamia njia bora za usambazaji wa maji safi na salama na utupaji wa taka • Kuelimisha jamiii juu ya mbinu za kujikinga na milipuko ya magonjwa • Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira • Kusimamia utekelezaji wa Sheria zinazohusu Afya ya Mazingira • Kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha katika mamlaka husika • Kuandaa na kufuatilia mikakati ya kuboresha na kusimamia usalalma wa afya kazini • Kuhakiki afya bandarini na mipakani • Kuratibu na kuhakiki kaguzi za vyakula, maji, kemikali, viwanda, sehemu za kazi na maeneo ya jamii • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.3.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya Sayansi za Afya ya Mazingira na mafunzo kazini na kusajiliwa na Bodi ya Wataalam wa Afya Mazingira 12.3.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS C kwa mwezi. 12.4 AFISA AFYA MAZINGIRA MSAIDIZI (GRADE II ) – NAFASI 2 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati na Rufiji 12.4.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kudhibiti na kuzuia milipuko ya wagonjwa • Kupambana na kuzuia wadudu na wanyama wanaoeneza magonjwa • Kusimamia uzikaji wa maiti zisizotambuliwa na zile zinazotokana na magonjwa ya kuambukiza • Kuandaa taarifa mbalimbali za Afya ya Mazingira katika ngazi ya kata na kuziwasilisha katika mamlaka husika • Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira katika kata na kutoa mrejesho ili kuchukua hatua zinazostahili • Kutoa elimu ya afya ya mazingira kwa jamii • Kukagua mazingira katika sehemu vinapotengenezwa vyakula ili kuhakikisha usalama na afya ya jamii • Kusimamia sheria za afya ya mazingira katika ngazi ya Kata pamoja na kusaidia jamii katika kutengeneza sheria ndogondogo • Kuhamasisha jamii katika kuboresha vyanzo vya maji na Usafi wa Mazingira • Kuhamasisha jamii kuhusu utekelezajiwa Huduma za Afya ya msingi katika ngazi ya Kata • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 15 12.4.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira ya miaka mitatu kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na awe amesajiliwa na Bodi ya Wataalam wa Afya Mazingira 10.1.1 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.5 AFISA MUUGUZI DARAJA LA II (NURSING OFFICER GRADE II) – NAFASI 6 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga na Halmashauri ya Mji Njombe 12.5.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya kazi za kiuguzi za kuhudumia wateja katika jamii, hospitalini na sehemu zote zinapotolewa huduma za afya • Kukusanya takwimu muhimu za afya • Kuwaelekeza na kusimamia wauguzi walio chini yake • Kutoa huduma kwa wagonjwa majumbani • Kutoa ushauri nasaha • Kutayarisha mpango wa kazi kwa ajili ya huduma za uuguzi • Kutoa huduma za kinga na uzazi • Kuelimisha wagonjwa na jamii • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.5.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Shahada ya Uuguzi kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali, waliohitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania 12.5.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS C kwa mwezi. 12.6 AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER GRADE II ) – NAFASI 12 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Mara, Rukwa, Kigoma, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mbozi, Mtwara na Monduli 12.6.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kutoa huduma za uuguzi • Kukusanya takwimu muhimu za afya • Kuwaelekeza kazi wauuguzi walio chini yake • Kuwaelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya • Kutoa huduma za kinga na uzazi 16 • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.6.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi ya muda usiopungua miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliohitimu mafunzo ya vitendo kazini (Internship) ya mwaka mmoja, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania 10.1.2 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.7 MUUGUZI DARAJA LA II (NURSE GRADE II ) – NAFASI 18 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Iringa, Mara, Rukwa, Kigoma Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Mtwara, Rufiji, Rungwe na Tandahimba 12.7.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya kazi za kiuguzi za kuhudumia wateja katika jamii, hospitali na sehemu zote zinapotolewa huduma za afya • Kusimamia na kuratibu kazi zote za wahudumu wa afya katika sehemu yake ya kazi • Kukusanya takwimu na kutayarisha taarifa za utendaji wake wa kazi • Kutoa huduma kwa wagonjwa majumbani • Kutoa ushauri nasaha • Kutoa huduma za kinga na uzazi wa mpango • Kutoa huduma za uzazi na afya ya mototo • Kuwaelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya • Kufuatilia utunzaji wa vitendea kazi katika maeneo yake ya kazi • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.7.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye cheti cha Uuguzi cha miaka miwili kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali na kuandikishwa (Enrolled) na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania 12.7.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS A kwa mwezi. 12.8 TABIBU DARAJA LA II (GRADE II ) – NAFASI 17 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Chato, Rufiji, Mbinga, Rungwe, Tunduru, Tandahimba na Halmashauri ya Mji Njombe 17 12.8.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya kazi zote zinazofanywa na Tabibu Msaidizi • Kutambua na kutibu magonjwa ya kawaida • Kusimamia utendaji wa watumishi walio chini yake na kufanya upasuaji mdogo • Kushauri na kuhamasisha wananchi kuchangia huduma za Afya za Mfuko wa Afya ya Jamii • Kuweka kumbukumbu za vifaa na zana za kutolea huduma • Kuweka kumbukumbu, kuandaa na kutoa taarifa za utekelezaji • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.8.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye Stashahada ya Tabibu ya muda usiopungua miaka mitatu kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali 12.8.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.9 TABIBU MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 5 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Chato, Mtwara, Rufiji na Tunduru 12.9.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kutoa huduma za Kinga na Tiba • Kutambua na kutibu magonjwa • Kutoa huduma ya Afya ya Msingi (Primary Health Care) • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.9.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha nne (IV) ambao wamehitimu Mafunzo ya Miaka Miwili ya Tabibu Wasaidizi (Clinical Assistants Certificate) 12.9.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS A kwa mwezi. 12.10 FIZIOTHERAPIA DARAJA LA II (PHYSIOTHERAPIST GRADE II ) – NAFASI 1 Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha 12.10.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kutoa tiba kwa kuzoeza viungo/kwa vitendo • Kukusanya na kutunza takwimu na taarifa za mgonjwa • Kutunza vifaa vya kutolea tiba • Kutoa elimu ya Afya kwa jamii kuhusu kutambua dalili na kuzuia ulemavu 18 • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.10.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye Stashahada ya miaka mitatu katika fani ya Fiziotherapia kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali 12.10.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.11 MTEKNOJOJIA DARAJA LA II - MAABARA (TECHNOLOGIST GRADE II) – NAFASI 11 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mbinga, Monduli, Mpanda, Rufiji na Simanjiro 12.11.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kupima sampuli zinazoletwa maabara • Kuhifadhi sampuli zinazotakiwa kufanyiwa uchunguzi au kupelekwa Maabara za ngazi za juu • Kufanya kazi za ukaguzi wa maabara ambazo zimepatikana wakati wa uchunguzi • Kufundisha watumishi walio chini yake • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.11.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Stashahada ya katika fani ya Uteknolojia ya muda wa miaka mitatu katika fani ya Maabara kutoka chuo kinachotambuliwa na Seriakli na ambao wamesajiliwa na Mabaraza pale inapohusika 12.11.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.12 MTEKNOJOJIA DARAJA LA II – DAWA (TECHNOLOGIST GRADE II) NAFASI 1 Nafasi hii ni kwa ajili ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, 12.12.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kuainisha, kuandaa na kuagiza mahitaji ya dawa na vfaa tiba katika eneo lake la kazi • Kugawa dawa na vifaa tiba kwa wagonjwa na watumishi • Kuhifadhi dawa na vifaa tiba • Kuelimisha jamii kuhusu matumizi sahihi ya dawa • Kukagua dawa, vifaa tiba kemikali, vitendanishi na vipodozi katika eneo lake la kazi 19 • Kutoa taarifa juu ya madhara yatokanayo na matumizi ya dawa na vifaa tiba • Kuratibu kazi za kamati ya dawa na vifaa tiba • Kufanya uchuguzi wa ubora wa dawa, vifaa tiba kemikali, vitendanishi na vipodozi • Kufanya kaguzi mbalimbali katika sehemu zinazohifadhiwa dawa • Kusimamia utendaji wa kazi watumishi walio chini yake • Kutunza kumbukumbu za dawa na vifaa tiba • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.12.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wenye Stashahada ya katika fani ya Uteknolojia ya muda wa miaka mitatu katika fani ya Madawa kutoka chuo kinachotambuliwa na Seriakli na ambao wamesajiliwa na Mabaraza pale inapohusika 12.12.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS B kwa mwezi. 12.13 MTEKNOJOJIA MSAIDIZI – MAABARA (ASSISTSNT TECHNOLOGIST - LABORATORY) – NAFASI 2 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 12.13.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kuandaa vitendanishi (reagents) vya kufanyia vipimo vya Maabara • Kufanya kazi za awali sampuli zinazoletwa maabara • Kukusanya damu kutoka kwa wagonjwa na watu wanaojitolea • Kurekodi matokeo ya vipimo kwenye regista • Kutayarisha vifaa vya kazi • Kuhifadhi kwa mujibu wa taratibu sampuli zote zinazohitaji kuhifadhiwa baada ya uchunguzi • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.13.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne wenye cheti cha miaka miwili katika fani ya Maabara kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali na ambao wamesajiliwa na Mabaraza pale inapohusika 12.13.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHS A kwa mwezi. 12.14 MHUDUMU WA AFYA (MEDICAL ATTENDANT) – NAFASI 26 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Ruvuma, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mbozi, Mpanda, 20 Monduli, Rufiji, Rungwe, Simanjiro, Tandahimba, Mbinga na Halmashauri ya Mji Njombe 12.14.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya kazi atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake 12.14.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliopata mafunzo ya mwaka mmoja katika fani ya afya 12.14.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGHOS A kwa mwezi. 13.0 MKAGUZI WA HESABU WA NDANI DARAJA LA II (INTERNAL AUDITOR GRADE II) – NAFASI 15 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri Mbalimbali katika Utumishi wa Umma 13.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kufanya ukaguzi wa hesabu katika idara • Kusahihisha na kuidhinisha ripoti za ukaguzi • Kusahihisha na kuidhinisha hoja za ukaguzi wa ndani (Internal Audit Queries) 13.2 SIFA ZA MWOMBAJI • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita wenye cheti cha kati cha Uhasibu (Intermidiate Stage) kinachotolewa na NBAA au sifa zinazolingana na hizo. Au • Kuajiriwa wenye Shahada ya Biashara/ Sanaa yenye uelekeo wa Uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu (Advanced Diploma in Accounting) kutoka vyuo au Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali. 13.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi. 14.0 MHASIBU DARAJA LA II (ACCOUNTANT GRADE II) – NAFASI 15 Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri Mbalimbali katika Utumishi wa Umma 14.1 MAJUKUMU YA KAZI • Kuidhinisha hati za malipo. • Kuandika taarifa ya mapato na matumizi ya mwezi. • Kusimamia Wahasibu Wasaidizi katika kazi zao za kila siku. • Kusimamia shughuli za uhasibu kwenye Kitengo cha Idara. • Kuandika taarifa ya maduhuli. 21 14.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye ‘mojawapo’ ya sifa zilizotajwa hapa chini:- • ‘Intermediate certificate’ inayotolewa na NBAA. • Shahada ya Biashara/Sanaa yenye mwelekeo wa Uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu kutoka Chuo Kikuu/Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali. • Stashahada ya Juu ya Uhasibu Serikalini (Advanced Diploma in Government Accounting) 14.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

Wednesday, June 20, 2012

Sustainable Energy

The text expected to be adopted at the U.N. Conference on Sustainable Development is finally done. But does it contain the “Future We Want?” Many are looking forward to a set of proposed sustainable development goals, but the text does not contain any. The document only recognizes the importance of SDGs and offers a timetable on the creation of an “open working group” that will be responsible for drafting a proposed set of SDGs. The group, according to the text, will be created on or before the 67th session of the U.N. General Assembly. No new financial commitments were included in the draft document, much to the dismay of poor countries calling for a $30 billion annual pledge to promote sustainable development. But the text includes commitments to strengthen the role of the U.N. Environment Program and “invites” the General Assembly to “adopt a resolution” toward this goal. The draft document has also laid out a set of policies to govern a green economy, but these policies will likely be up for debate. No commitments were made on a number of hot issues, including technology transfer to developing countries. This final text, finished just hours before the official start of the conference (June 20), has raised eyebrows among environmental and anti-poverty organizations. Some have called it a “watered-down final draft,” the Guardian reports. “The approach that has been taken is to go for the lowest common denominator,” Greenpeace International Executive Director Kumi Naidoo said. “The trick here is to look very carefully at the UN-ese language being used. If they use the word voluntary, it means it is not going to happen.” On a more positive note, the presidents of six multilateral development banks released a joint statement on the eve of Rio+20, expressing their support for nine core green growth issues: climate change, sustainable cities, sustainable transport, oceans, food security, water, national capital and large-scale ecosystems, and U.N. Secretary-General Ban Ki-moon’s Sustainable Energy For All initiative. The six did not provide any specific financial commitments. The six MDBs involves are the Inter-American Development Bank, the African Development Bank, the Asian Development Bank, the European Bank for Reconstruction and Development, the European Investment Bank and the World Bank.

United Nations foundation

The text expected to be adopted at the U.N. Conference on Sustainable Development is finally done. But does it contain the “Future We Want?” Many are looking forward to a set of proposed sustainable development goals, but the text does not contain any. The document only recognizes the importance of SDGs and offers a timetable on the creation of an “open working group” that will be responsible for drafting a proposed set of SDGs. The group, according to the text, will be created on or before the 67th session of the U.N. General Assembly. No new financial commitments were included in the draft document, much to the dismay of poor countries calling for a $30 billion annual pledge to promote sustainable development. But the text includes commitments to strengthen the role of the U.N. Environment Program and “invites” the General Assembly to “adopt a resolution” toward this goal. The draft document has also laid out a set of policies to govern a green economy, but these policies will likely be up for debate. No commitments were made on a number of hot issues, including technology transfer to developing countries. This final text, finished just hours before the official start of the conference (June 20), has raised eyebrows among environmental and anti-poverty organizations. Some have called it a “watered-down final draft,” the Guardian reports. “The approach that has been taken is to go for the lowest common denominator,” Greenpeace International Executive Director Kumi Naidoo said. “The trick here is to look very carefully at the UN-ese language being used. If they use the word voluntary, it means it is not going to happen.” On a more positive note, the presidents of six multilateral development banks released a joint statement on the eve of Rio+20, expressing their support for nine core green growth issues: climate change, sustainable cities, sustainable transport, oceans, food security, water, national capital and large-scale ecosystems, and U.N. Secretary-General Ban Ki-moon’s Sustainable Energy For All initiative. The six did not provide any specific financial commitments. The six MDBs involves are the Inter-American Development Bank, the African Development Bank, the Asian Development Bank, the European Bank for Reconstruction and Development, the European Investment Bank and the World Bank. Read more: As Rio+20 nears, another negotiation stalemate Sustainable development: What you need to know How to advance sustainable development Is Rio+20 on the road to failure? The road to Rio+20 Rio+20: The buzz so far Read more development aid news online, and subscribe to The Development Newswire to receive top international development headlines from the world’s leading donors, news sources and opinion leaders — emailed to you FREE every business day. Tags: Rio+20, United Nations, SDG, sustainable development, General Assembly, UNEP, green economy, water, food, energy, IDB, AfDB, ADB, EBRD, European Investment Bank, World Bank

Saturday, June 16, 2012


How can Humans Improve Damaged Ecosystems
  • Passing and implementing strict laws for industries and colonies. Those who are responsible for polluting air and water should be severely punished.
  • Creating protected wildlife reserves. Certain species that are on the verge of extinction should be declared as 'protected species' by respective governments.
  • Breeding certain species, and releasing them afterwards so that they can live in their own habitat. Preserving and creating proper habitats.
  • Planting as many trees as possible. Reforestation or re-greening the damaged areas can help avoid desertification of land.
  • Creating awareness by celebrating 'Earth Day', 'Green Day', 'Tree Day', etc.
  • Eliminating foreign species can help native species of plants to grow.
  • Cleaning the rivers, ponds and lakes.
  • Avoiding use of plastic bags.
  • Separating dry and wet garbage, composting, using wet garbage as manure.
  • Avoiding use of pesticides and chemical fertilizers.
  • Using innovative and different energy forms like solar energy, wind energy, etc.
  • Limiting the use of vehicles by following the rule of carpool, taking stairs, walking or taking a bike ride whenever possible.
  • Eating local products can help avoid wastage of gas and air pollution; as food products are transported by trucks, trains, ships or airplanes. They are processed with machines which require electricity to run.

Tuesday, May 29, 2012

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/B/130 25 Mei, 2012
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu
wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria
Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na
kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma). Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 2285 za kazi kwa waajiri mbalimbali kama ifuatavyo:

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya
Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara
ya Mawasiliano, Sanyansi na Teknolojia, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Msajili Mahakama ya Rufaa, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Lindi, Manyara, Kigoma, Arusha, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Tabora, Morogoro na Rukwa.
Katibu Tume ya Utumishi wa Umma, Katibu, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma,
Katibu Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Katibu Tume ya Pamoja ya Fedha, Ofisi ya
Taifa ya Takwimu, Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Msajili wa Vyama vya Siasa, Taasisi ya
Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA), Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania,
Mtendaji Mkuu Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania, Mtendaji Mkuu Baraza la Taifa la
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Mwanza. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, Mtwara, Singida, Sumbawanga, Morogoro, Songea, Kigoma/Ujiji na Temeke. Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Bunda, Chato, Chamwino, Handeni, Songea, Bahi, Kibaha, Pangani, Tunduru, Mkuranga, Mafia, Mufindi, Njombe, Mwanga, Nachingwea, Nkasi, Masasi, Monduli, Mtwara, Ruangwa, Rufiji, Bukoba, Tandahimba, Same, Tarime, Kibondo, Biharamulo, Newala, Simanjiro, Kondoa, Ngara, Mpanda na Halmashauri ya Mji wa Njombe.
NB: Aidha, tangazo hili linapatikana kwenye tovuti zifuatazo:

PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS, Public Service Management na PMORALG - Home -
1.0 AFISA UTUMISHI DARAJA LA II (HUMAN RESOURCES OFFICER GRADE II) – NAFASI 30

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Tume ya Utumishi wa Umma, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Rukwa. Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara na Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Rufiji, Handeni, Mkinga, Ngara, Songea, Bahi, Newala na Halmashauri ya Jiji la Mwanza

1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutunza Kumbukumbu sahihi za watumishi wote katika Wizara, Mikoa, Wilaya na Idara zinazojitegemea kulingana na mahali alipo.
·
 Kutafsiri na kushughulikia utekelezaji wa miundo ya utumishi.
·
 Kutafiti, kuchanganua na kukadiria idadi ya watumishi wanaohitaji mafunzo.
·
 Kuandaa na kupanga mipango ya mafunzo ya muda mfupi na mrefu.
·
 Kukadiria na kupanga mahitaji ya vifaa vya mafunzo kwa kushirikiana na vyuo vilivyopo chini ya sekta zinazohusika.
·
 Kukusanya, kuchambua na kupanga takwimu na kumbukumbu zote zinazohusu mipango ya watumishi.
·
1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sayansi Jamii au Sanaa kutoka
· katika Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani zifuatazo:-
 Menejimenti ya Raslimali Watu (Human Resources Management).
§
 Elimu ya Jamii (Sociologly).
§
 Utawala na Uongozi (Public Administration).
§
 Mipango ya Watumishi (Manpower Planning).
§
 Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta
·

1.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

2.0 AFISA TAWALA DARAJA LA II (ADMINISTRATIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 14

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Manyara, Rukwa na Halmashauri ya Wilaya ya Njombe.

2.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusajili vizazi, vifo na ndoa na kutoa hati za viapo.
·
 Kuweka kumbukumbu za matukio muhimu,
·
 Kuwapokea na kuwahoji wakimbizi wanaowasili,
·
 Kuweka kumbukumbu za Wa
·kimbizi
 Kutunza na kugawa vifaa vya wakimbizi katika makazi.
·
 Kuainisha, kuchambua na kushauri kuhusu matatizo ya wakimbizi.
·
 Kusimamia nidhamu ya wakimbizi.
·
 Kusimamia utekelezaji wa Sheria, Sera, Kanuni na Taratibu mbalimbali Serikalini kutegemeana mahali alipo.
·
 Kusimamia kazi za utawala na uendeshaji katika ofisi za Serikali.
·
 Kutoa vitambulisho kwa wakimbizi.
·

2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa
· na Serikali katika fani zifuatazo:- Utawala, Elimu ya jamii, Sheria (baada ya internship), Menejimenti ya Umma
Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta
·

2.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

3.0 AFISA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (RECORDS OFFICER GRADE II) – NAFASI 2

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

3.1 MAJUKUMU YA KAZI
Hili ni daraja la mafunzo katika kazi hivyo atafanya kazi kwa maelekezo ya Maafisa Kumbukumbu walio juu yake kwa cheo. Kazi atakazojifunza na kufanya ni zile zifanywazo na Afisa Kumbukumbu Daraja la I:-
 Kudhibiti mifumo ya kumbukumbu, kutunza, na kusimamia matumizi ya kumbukumbu.
·
 Kutambua na kutafuta kumbukumbu katika masjala.
·
 Kudhibiti mfumo wa kumbukumbu zinazozalishwa na kompyuta, kutunza na kusimamia matumizi yake.

3.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada ya Kwanza katika fani ya Utunzaji na Uhifadhi
· wa Kumbukumbu (Records management & Archieves), Upimaji na Ramani na nyingine zinazolingana nayo kutoka katika Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Aidha wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

3.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi.

4.0 MTAKWIMU DARAJA LA II (STATISTICIAN GRADE II) – NAFASI 14

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Rukwa, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Tunduru, Rufiji, Mkuranga na Newala.

4.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kubuni na kuendeleza mfumo wa kitaifa wa kukusanya na kuratibu takwimu
·
 Kutengeneza utaratibu wa kukusanya takwimu pamoja na ule wa kuchukua takwimu za mfano/vielelezo (Sampling)
·
 Kukusanya, Kuchambua na kuwasilisha takwimu ngazi za juu.
·

4.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza katika fani ya Takwimu au Hisabati
· au sifa zinazolingana na hizo kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia “Information Communication Technology (ICT)

4.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

5.0 MTAKWIMU MSAIDIZI (ASSISTANT STATISTICIAN ) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi

5.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya Takwimu ( Data)
·
 Kuchambua na kukagua fomu za maswali zilizokwishajazwa na kujibiwa.
·

5.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye cheti (Certificate) cha Takwimu kutoka Chuo cha
· Takwimu cha Afrika Mashariki (The Eastern Afrika Statistical Training Center) au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali wenye ujuzi wa kutumia kompyuta (ICT)

5.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

6.0 KATIBU WA KAMATI DARAJA LA II (COMMITTEE CLERK GRADE II) – NAFASI 13
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Mkinga, Tunduru, Mwanga, Newala, Mkuranga na Nkasi.

6.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa ratiba ya vikao vyote vya Halmashauri na kamati zote kwa kushauriana na Mkurugenzi Mtendaji
·
 Kuandika Mihutasari ya vikao vya Halmashauri
·
 Kuweka Kumbukumbu za vikao vya Halmashauri nma kamati zake.
·
 Kutunza Vifaa vyote vinavyohusiana na mikutano.
·
 Kuhifadhi orordha ya mahudhurio ya Madiwani na Wataalamu.
·
 Kutoa ratiba ya ufuatiliaji na utekelezaji wa maazimio
·
 Kutunza Kanuni za Mikutano.
·
 Kusimamia “cutting” za mihutasari.
·

6.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada /Stashahada ya Juu ya Sheria/Sanaa/ Utawala kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
·

6.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D kwa mwezi.

7.0 AFISA MIPANGO MIJI DARAJA LA II (TOWN PLANNER) – NAFASI 17
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Tabora, Rukwa, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Mtwara, Singida, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Handeni, Nachingwea, Rufiji, Mafia, Morogoro, Pangani na Tunduru.

7.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa mipango ya maeneo yaliyoendelezwa kiholela.
·
 Kuandaa michoro ya Mipangomiji.
·
 Kupokea michoro ya Mipangomiji na taarifa za maeneo ya ardhi yanayopendekezwa kuiva kwa ajili ya uendelezaji kimji.
·
 Kuchambua takwimu na taarifa kwa ajili ya maandalizi ya mipango mipya ya makazi.
·
 Kupokea na kuweka kumbukumbu za maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi na umegaji wa viwanja.
·
 Kuhakikisha kuwa mabadiliko ya matumizi ya ardhi yanaingizwa katika michoro.
·

7.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Stashahada ya juu/Shahada katika fani ya Mipangomiji kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi au Vyuo Vikuu au Taasisi nyingine zinazotambuliwa na Serikali.

7.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

8.0 MSAIDIZI WA MTENDAJI MKUU DARAJA LA II (EXECUTIVE ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu

8.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na siri
·
 Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.
·
 Kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao,
· safari za mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
 Kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachoitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.
·
 Kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia
· kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
 Kuyapokea majalada, kuyagawa kwa maofisa walio katika sehemu alipo, na
· kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusikika.
 Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali mahali alipo.
·
 Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi na kuifikisha sehemu zinazohusika na upatikanaji wa vifaa hivyo.
·
 Kuwapangia na kuwaelekeza kazi Makatibu Mahsusi walio chini yake.
·
 Kuwasaidia Makatibu Mahsusi walio chini yake kuhusu matumizi ya mashine za kazi na utunzaji wake.
·
 Kutoa na kufuatilia panapohusika kuhusu matengenezo ya mashine za kazi.
·
 Kuandika muhutasari wa vikao vinavyohusika sehemu alipo na kufuatilia utekelezaji wa maamuzi ya vikao hivyo.
·
 Kuandika barua zinazotoa taarifa ya ratiba ya shughuli au safari za Mkuu wake na kuitisha vikao.
·
 Kufuatilia utekelezaji wa maagizo ya Mkuu wake sehemu mbalimbali
·

8.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Stashahada ya kawaida ya Uhazili itolewayo na Chuo
· cha Utumishi wa Umma (TPSC) au chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambaye amehudhuria mafunzo ya kompyuta na kupata cheti katika programme za Window, Microstoft Office, Internet, E-mail na Publisher. Pia, Awe na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka kumi na mbili. Aidha, Awe Amehudhuria na kufaulu mafunzo ya Menejimenti kwa ajili ya Wasaidizi wa Watendaji Wakuu kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

8.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS F kwa mwezi.

9.0 AFISA USIMAMIZI WA FEDHA DARAJA LA II (FINANCE MANAGEMENT OFFICER II) - NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Tanga na Mtwara

9.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandikisha na kudhibiti Amana (Securities) za Serikali.
·
 Kufuatilia hati za hisa.
·
 Kuwasiliana na watoaji mikopo/misaada kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa miradi.
·
 Kuweka kumbukumbu za madeni ya nje.
·
 Kuweka kumbukumbu za mikopo ya ndani.
·
 Kufuatilia na kusimamia matayarisho ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali.
·
 Kufuatilia utayarishaji na uchambuzi wa “Flash Reports” za kila mwezi.
·

9.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Sanaa yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya
· Uchumi na Mipango (Major in Economics) au Biashara au Sheria (LL.B) au Stashahada ya Juu ya Uhasibu au Uchumi & Mipango au Biashara au Stashahada ya juu ya Usimamizi wa kodi kutoka Chuo/Taasisi inayotambuliwa na Serikali.
 Waombaji wenye Cheti cha Taaluma ya Uhasibu CPA (T) au sifa nyingine
· inayolingana na hiyo inayotambuliwa na NBAA watafikiriwa kwanza.

9.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi

10.0 MHAKIKIMALI DARAJA LA II (STOCK VERIFIER GRADE II) - NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha

10.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukagua bohari za kati za Serikali na kutoa taarifa za ukaguzi.
·
 Kutathmini na Kuchambua hoja muhimu zilizomo katika taarifa za uhakikimali.
·
 Kufanya uchambuzi wa taarifa za ‘Boards of Survey’ na kutoa mapendekezo juu ya utekelezaji wake.
·
 Kutunza daftari la taarifa za upotevu, ajali, fidia, vitunzia fedha
· (cash receptables), usajili wa magari ya Serikali na uahalisho (respective approval).

10.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Stashahada ya Juu katika fani ya ugavi (Materials
· Management) au Shahada/Stashahada ya juu ya Biashara katika usimamizi wa vifaa/ugavi, kutoka Chuo/Taasisi inayotambuliwa na Serikali au
 Wenye ‘Professional Level II/III’ inayotolewa na Bodi ya Taifa ya
· Usimamizi wa vifaa (NBMM), au sifa inayolingana nal hiyo inayotambuliwa na Bodi.
 Na wawe na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka miatatu (3).
·

10.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi

11.0 MHASIBU MSAIDIZI (ASSISTANT ACCOUNTANT) - NAFASI 60
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Mkinga, Tunduru, Masasi, Bukoba, Monduli, Rufiji, Biharamulo, Simanjiro, na Mtwara, Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania.
11.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupokea na kulipa fedha.
·
 Kutunza daftari ya fedha.
·
 Kufanya usuluhisho wa hesabu za benki
·
 Kukagua hati za malipo.
·
 Kupitisha malipo kulingana na kanuni za fedha.
·
 Kusimamia kazi za wasaidizi wa hesabu.
·
11.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Cheti cha kufaulu mtihani mgumu wa Uhasibu Serikalini
· (Higher Standard Government Accountancy Examination) unaotolewa na Tume ya Utumishi wa Umma. Au
 Kuajiriwa wenye Stashahada ya kawaida ya uhasibu kutoka Chuo/Taasisi yoyyote inayotambuliwa na seriikali.
·
11.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi
12.0 MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) - NAFASI 20
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, na Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Tunduru na Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania.
12.1 MAJUKUMU YA KAZI
9
 Kuandika na kutunza “register” zinazohusu shughuli za uhasibu.
·
 Kuandika hati za malipo na hati za mapokezi ya fedha.
·
 Kutunza majalada yenye kumbukumbu za hesabu
·
 Kupeleka barua/nyaraka za uhasibu Benki.
·
 Kufanya usuluhisho wa masurufu, karadha, Hesabu za Benki na Amana.
·
12.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Cheti cha ATEC level II au “Foundation Level” kinachotolewa na NBAA
·
12.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.B kwa mwezi
12.4 OPERATA WA KOMPYUTA DARAJA LA II (COMPUTER OPERATOR) - NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Katibu Tawala Mkoa wa Mara
12.5 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi za kompyuta/programu zenye mifumo migumu kwa usimamizi wa wastani wa Maopereta wa Kompyuta Waandamizi
·
 Kurekebisha mpango wa kazi katika chumba cha kompyuta
·
 Kutunza vitabu vya matumizi ya kila siku ya kompyuta
·
 Kuhifadhi data zote zinazoingizwa katika kompyuta
·
 Kuchapa taarifa za mwisho
·
12.6 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye stashahada ya masomo ya kompyuta kutoka kwenye Taasisi/Vyuo vinavyotambuliwa na serikali.
·
12.7 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.
12.8 OPERATA WA KOMPYUTA MSAIDIZI (ASSISTANT COMPUTER OPERATOR) - NAFASI 34
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
12.9 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhifadhi data.
·
 Kutunza kumbukumbu za shughuli za kila siku.
·
 Kugundua na kusahihisha makosa yanayotokea katika data.
·
 Kufanya kazi za Kompyuta.
·
 Kuchapa orodha ya makosa.
·
10
 Kufanya programu ya matumizi.
·
 Kuchapa taarifa za mwisho.
·
 Kufanya kazi chini ya usimamizi wa Opereta wa Kompyuta Daraja la II.
·
12.10 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye cheti cha masomo ya Kompyuta (Certificate in Computer
· Science in Information Technology) kutoka kwenye Taasisi/Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
12.11 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.B kwa mwezi.
13.0 MKAGUZI WA HESABU MSAIDIZI II (ASSISTANT AUDITOR II) - NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara
13.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukagua nyaraka za matumizi ya kawaida na mapato ya Serikali kwa maelekezo ya kiongozi wa kituo.
·
 Kuandaa hoja za Ukaguzi na hatimaye kuhakiki majibu ya hoja hizo.
·
 Kuongozana na viongozi kwenye timu za Ukaguzi nje ya kituo.
·
 Anaweza kupewa kazi ya kutunza daftari za kumbukumbu mbalimbali katika kituo kwa maelekezo ya kiongozi wa eneo la kazi.
·
 Kazi zingine za ukaguzi kwa maelekezo ya kiongozi wa kituo.
·
13.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita wenye Cheti cha kidato cha Sita
· wenye cheti cha Uhasibu cha ATEC kinachotolewa na NBAA au vyeti vingine vinavyotambuliwa na Serikali
Au
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita waliofaulu mtihani mwepesi wa
· Uhasibu Serikalini (Lower Government Accounting Examination) unaotolewa na Tume ya Utumishi wa Umma.
13.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi
14.0 MTUNZA NYUMBA DARAJA LA II (HOUSE KEEPER GRADE II) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
14.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa vitanda
·
 Kuhakikisha usafi wa nguo (linen), Mapazia na mazulia
·
 Kusimamia utunzaji wa bustani na ukataji majani (State Lodge)
·
14.2 SIFA ZA MWOMBAJI
11
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada ya ‘Home
· Economics’ au sifa inayolingana na hiyo kutoka kwenye Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka (5) mitano
14.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D. Kwa mwezi.
15.0 MPISHI DARAJA LA II (COOK GRADE II) – NAFASI 9
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara na Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
15.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusafisha jiko
·
 Kupika chakula cha kawaida
·
15.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriw
·a wahitimu wa Kidato cha IV waliofuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya ‘Food Production’ yanayotolewa na Vyuo vya Forodhani (Dar es Salaam), Masoka (Moshi), Arusha Hotel, Y.M.C.A (Moshi), VETA (Mikumi) na Vision Hotel (Dar es Salaam) au vyeti vingine vitakavyotambuliwa na Serikali na wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopunguja miaka (5) mitatu.
15.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
16.0 MWANDAZI DARAJA LA II (WAITER GRADE II) NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
16.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa meza ya kulia chakula.
·
 Kupamba meza ya kulia chakula
·
 Kupanga vifaa vya kulia chakula mezani.
·
 Kuondoa vyombo baada ya kula chakula
·
16.2 Sifa za mwombaji
 Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV na kufuzu mafunzo
· si chini ya mwaka mmoja katika fani ya ‘Food and Bevarages’ yatolewayo na vyuo vya Forodhani Dar es Salaam. Masoka Moshi, Arusha Hotel na Y.M.C.A ya Moshi na Vyuo vingine vinavyolingana ambavyo vitatambuliwa na Serikali.
16.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.B kwa mwezi.
12
17.0 MHUDUMU WA JIKONI/MESS DARAJA LA II (KITCHEN/MESS ATTENDANT) – NAFASI 39
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Ruangwa.
17.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusafisha Vyombo vya kupikia.
·
 Kusafisha Vyombo vya kulia chakula.
·
 Kusafisha Meza itumiwayo kwa kulia chakula.
·
 Kuwatayarishia Wapishi/Waandazi vifaa vya Mpishi na Mezani.
·
 Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia.
·
 Kuwasaidia Waandazi na Wapishi.
·
17.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne
17.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
18.0 MTUNZA BUSTANI DARAJA LA II (GARDNER II) NAFASI 3
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
18.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupanda mboga, matunda, n.k. katika bustani.
·
 Kupalilia mazao katika bustani.
·
 Kupanda maua katika maeneo yanayohusika.
·
 Kupanda na kukata majani na kumwagilia maji.
·
 Kufanya kazi zingine zitakazoelekezwa na Viongozi wa Kitengo chao.
·
18.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Cheti katika fani ya utunzaji bustani za maua, mboga
· na upandaji majani kutoka chuo cha Maendeleo ya Wananchi, VETA, au JKT au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.
18.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
13
19.0 AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II) – NAFASI 16
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Lindi na Halmashauri ya Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo.
19.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha fani mbalimbali kwa Waalimu wa vyuo, shule, na vituo vya Elimu na Mafunzo
·
 Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa waalimu, Makocha, viongozi wa vyama na vilabu vya michezo
·
 Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa Timu za Michezo mbalimbali.
·
19.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada au Stashahada ya Juu ya Elimu ya Michezo
· (Physical Education) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
19.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi.
20.0 AFISA MAENDELEO YA VIJANA DARAJA LA II (YOUTH DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Katibu Tawala Mkoa wa Lindi naTanga
20.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuratibu na kisimamia utekelezaji wa Sera ya Vijana
·
 Kuratibu shughuli za mikopo/mifuko ya Vijana
·
 Kuhamasisha vijana ili kufufua moyo wa kujitolea nchini
·
 Kupanga na kuendesha mafunzo yanayohusu stadi za maisha, stadi za kazi na Afya ya Vijana
·
 Kuanzisha vituo vya ushauri nasaha, Ajira kwa Vijana na Elimu ya
· Familia kwa kushirikiana na vyama visivyo vya kiserikali (NGO)
 Kukusanya takwimu mbalimbali zinazohusu Vijana
·
 Kuratibu shughuli mbalimbali za NGO zinazoshughulikia masuala ya Vijana
·
 Kuandaa mipango ya kuboresha malezi ya Vijana
·
 Kuwahamasisha Waajiri na Wafadhili mbalimbali wachangie mfuko wa mikopo nafuu kwa Vijana katika maeneo mbalimbali
·
 Kukuza na kuendeleza vipaji mbalimbali walivyonavyo Vijana ili kuwawezesha kujiajiri
·
 Kuandaa mipango ya kuwahamasisha Vijana ili kuanzisha miradi midogomidogo ya kujiajiri.
·
14
20.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (BA. in Sociology or Social
· Sciences) au Stashahada ya Juu ya Maendeleo ya Jamii au Ustawi wa Jamii au Maendeleo ya Vijana (Advanced Diploma in Social Works or Community Development or Youth Development) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serkali.
20.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
21.0 AFISA UTAMADUNI II (CULTURAL OFFICER GRRADE II) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa jli ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Biharamulo, Pangani.
21.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutafiti masuala ya Lugha, Sanaa, Mila na Desturi katika ngazi ya Wilaya.
·
 Kufundisha fani mbalimbali za utamaduni katika Vyuo na Vituo vya Elimu na mafunzo ya utamaduni.
·
 Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa kituo.
·
21.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada au stashahada ya juu katika Sanaa, Lugha au
· Sayansi ya Jamii na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu.
21.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
22.0 AFISA UTAMADUNI MSAIDIZI (ASSISTANT CULTURAL OFFICER) – NAFASI 3
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
22.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha fani mbalimbali za Utamaduni katika Vyuo na vituo vya elimu na mafunzo ya Utamaduni.
·
22.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye stashahada ya kawaida kutoka Chuo cha Sanaa Bagamoyo au chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali kinachotoa fani zinazolingana na zitolewazo na Chuo cha Sanaa Bagamoyo.
22.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.
15
23.0 DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) – NAFASI 202
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Arusha, Dar es Salaam, Manyara, Tanga, Mara, Pwani, Rukwa, Katibu, Tume ya Utumishi wa Umma, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mkuranga, Babati, Kibaha, Mafia, Simanjiro, Kondoa, Rufiji, Newala, Chamwino, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Msajili wa Vyama vya Siasa na Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania, Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
23.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori
·
 Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote,
· na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,
 Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,
·
 Kutunza na kuandika daftari la safari “Log-book” kwa safari zote.
·
23.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la “C” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi Daraja la II.
23.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
24.0 DEREVA MITAMBO DARAJA LA II (PLANT OPERATOR GRADE II) – NAFASI 3
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Kigoma/Ujiji
24.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuendesha mitambo chini ya usimamizi wa Dereva Mitambo mwenye uzoefu.
·
24.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha IV ambao wana leseni Daraja la
· “G” ya kuendesha mitambo na ujuzi wa kutunza vyombo mbalimbali vya mitambo hiyo, wenye uzoefu wa kuendesha mitambo kwa muda usiopungua saa mia tatu (300) au miezi mitatu (3) bila kusababisha ajali.
24.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi
16
25.0 AFISA USHIRIKA DARAJA LA II (COOPERATIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 45
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Pwani, Manyara, Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Morogoro, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Tunduru, Mafia, Tunduru, Tandahimba, Morogoro, Mkuranga, Pangani, Babati na Masasi, Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
25.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukagua vyama vya Ushirika vya Msingi vinavyoendesha miradi ya pamoja ( Jointy Venture )
·
 Kuhamasisha uanzishaji wa vyama vya Ushirika vya Msingi.
·
 Kukusanya na kuchambua takwimu zinazohusu Masoko katika Mkoa.
·
 Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika vya Msingi
·
 Kuratibu/kushiriki katika Elimu ya Ushirika Shirikishikatika vyama vya ushirika vya Msingi.
·
25.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu (Advanced
· Diploma) katika mojawapo ya fani za; Ushirika, Uchumi, Uhasibu, au Masoko kutoka vyuo vinavyotambulika na Serikali.
25.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
26.0 AFISA WA SHERIA DARAJA LA II (LEGAL OFFICER GRADE II) – NAFASI 26
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Rufiji, Njombe, Songea, Masasi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mwanza, Msajili wa Vyama vya Siasa na Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA).
26.1 MAJUKUMU YA KAZI
Hili ni daraja la mafunzo katika kazi, hivyo Maafisa wa Sheria katika daraja hili watafanya kazi za kisheria kwa maelekezo ya Maafisa wa Sheria Waandamizi ikiwa ni pamoja na:
 Kutoa ushauri na kufanya utafiti wa kisheria pale anapohitajika kulingana na Wizara, Idara ya Serikali ama sehemu aliko.
·
 Kufanya mawasiliano na ofisi nyingine kuhusu masuala ya kisheria kwa maelekezo ya Maafisa wa Sheria walio katika ngazi za juu.
·
17
26.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ya Sheria kutoka vyuo
· vinavyotambuliwa na Serikali na waliomaliza mafunzo ya uwakili yanayotambuliwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
26.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi
27.0 AFISA USAFIRI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER GRADE II ) – NAFASI 10
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Bahi na Katibu Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
27.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutayarisha gharama za uendeshaji wa usafiri kwa ajili ya kusaidia kutoa maamuzi.
·
 Kuhakikisha kuwa takwimu na kumbukumbu zinazohusu vyombo vya usafiri
· pamoja na mitandao yake zinatunzwa vyema na kwa usahihi. Kuandaa takwimu zinazohusu maendeleo ya ukuaji wa sekta ya usafirishaji, na kuwasilisha kwa watumiaji ndani na nje ya nchi.
 Kukusanya takwimu za usafirishaji nchini.
·
 Kukadiria na kushauri juu ya utendaji wa miradi mbalimnbali ya sekta ya usafirishaji.
·
 Kutekeleza majukumu mengine yanayohusu sekta ya usafirishaji
·
27.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye stashahada ya kawaida ya Usafirishaji kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
27.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
28.0 AFISA HABARI II (INFORMATION OFFICER GRADE II) – NAFASI 22
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Katibu Sekretarieti ya Ajira, Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi na Masasi.
28.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya na kuandika habari.
·
 Kupiga picha.
·
 Kuandaa picha za maonyesho.
·
 Kuandaa majarida na mabango (Posters).
·
 Kukusanya takwimu mbalimbali.
·
 Kuandaa majarida na vipeperushi.
·
18
 Kuhifadhi picha na kuhudumia maktaba na marejeo.
·
28.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Awe na Shahada ya Kwanza au Stashahada ya Juu ya Uandishi wa Habari au
· sifa inayolingana nayo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
28.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
29.0 KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III (PERSONAL SECRETARY GRADE III) – NAFASI 161
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Pwani, Arusha, Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Mtwara, Rukwa, Katibu, Tume ya Utumishi wa Umma, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, Kigoma/Ujiji na Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Kibondo, Pangani, Monduli, Nkasi, Tunduru, Morogoro, Mbeya, Bukoba, Kibaha, Mkuranga, Bahi, Chamwino, Sengerema, Rufiji, Newala, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume ya Pamoja ya Fedha
29.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.
·
 Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.
·
 Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe
· za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa wakati unaohitajika.
 Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majadala, nyaraka au kitu
· chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.
 Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake
· na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
 Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maofisa walio katika sehemu
· alipo, na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
 Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.
·
29.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria Mafunzo ya Uhazili
· na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu. Wawe wamefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja na wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika programu za Window, Microstoft Office, Internet, E-mail na Publisher.
19
29.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.
30.0 MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU (NYARAKA) MWANDAMIZI – (SENIOR RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT) – NAFASI 1
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)
30.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya utafiti wa kuhuisha kumbukumbu katika masjala za wizara za
· Serikali na Taasisi zake kwa ajili ya matumizi ya ofisi hizo
 Kutekeleza utaratibu wa
· kutunza na kuhamisha na kutelekeza kumbukumbu kulingana na vigezo vilivyowekwa
 Kusimamia tarartibu za kurahisisha upatikanaji wa kumbukumbu/nyaraka
·
 Kuandaa fahirisi na nyenzo nyingine za kurahisisha upatikanaji wa kumubukumbu nyaraka na taarifa
·
 Kutoa vibali vya utafiti.
·
30.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Diploma ya kawaida katika fani ya masjala kutoka vyuo
· vinavyotambuliwa na Seriakali wenye ujuzi wa kompyuta na wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitano.
30.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
31.0 MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU (NYARAKA) DARAJA LA II – (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 101
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Kigoma, Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Morogoro, Manyara, Singida, Rukwa, Katibu, Tume ya Utumishi wa Umma, Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Kibaha, Pangani, Kibondo, Tunduru, Newala, Babati, Rufiji, Tandahimba, Morogoro, Njombe, Sengerema, Masasi, Mbeya, Mkuranga, Chamwino, Rufiji, Msajili wa Vyama vya Siasa, Msajili Mahakama ya Rufaa, Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA) na Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania.
31.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Daraja hili ni la mafunzo katika kazi, hivyo atafanya kazi kwa
· maelekezo ya Wasaidizi wa Kumbukumbu walio juu yake. Kazi atakazojifunza na kufanya ni zile zifanywazo na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja I:-
20
 Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji.
·
 Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa kumbukumbu/nyaraka.
·
 Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika makundi
· kulingana na somo husika (classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
 Kuweka/kupanga kumbukumbu/nyaraka katika reki (file racks/cabinets) katika masjala/vyumba vya kuhifadhia kumbukumbu.
·
 Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka nk.) katika mafaili.
·
 Kushughulikia maombi ya kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali
·
31.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne (IV) au sita (VI) wenye cheti cha utunzaji kumbukumbu katika fani ya Masjala.
31.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS B kwa mwezi
32.0 MPOKEZI (TELEPHONE OPERATOR) – NAFASI 4
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Katibu Tawala Mkoa wa Tanga na Ruvuma
32.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupokea wageni na kuwasaili shida zao.
·
 Kutunza rejesta ya wageni wa ofisi na kufanya uchambuzi wa wageni
· wanaoingia ili kutoa ushauri juu ya utaratibu bora wa kupokea wageni.
 Kupokea na kusambaza maombi ya simu za ndani.
·
 Kutunza na kudumisha usafi wa “Switchboard” na ofisi zake.
·
 Kuwaelekeza wageni wa ofisi kwa maafisa/ofisi watakakopewa huduma.
·
 Kuhakikisha kwamba wageni wanaoingia ndani wanamiadi (Appointment) au wamepata idhni ya maafisa husika.
·
 Kupokea simu kutoka nje na kuzisambaza kwa maofisa mbalimbali ofisini.
·
 Kupokea simu kutoka “Extension” za ndani na kupiga nje ya ofisi.
·
 Kutunza rejesta ya simu zinazopokelewa kutoka nje ya ofisi na zinazopigwa kwenda nje.
·
32.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV waliofaulu masomo ya Kiingereza,
· Kiswahili na Hisabati na kufuzu mafunzo ya Mapokezi na Upokeaji Simu kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
32.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi
21
33.0 MSAIDIZI WA OFISI (OFFICE ASSISTANT) – NAFASI 76
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano Sanyansi na Teknolojia, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Manyara, Mtwara, Rukwa Halmashauri ya Manipsaa ya Singida, Mtwara, Halmshauri ya Wilaya ya Kondoa, Rufiji, Monduli, Halmshauri ya Songea, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Bukoba, Morogoro, Rufiji, Tunduru, Bahi na Msajili wa Vyama vya Siasa.
33.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya usafi wa ofisi na mazingira ya nje na ndani ikiwa ni pamoja na
· kufagia, kufuta vumbi, kupiga deki, kukata majani, kupalilia bustani, kumwagilia maji bustani, kupanda maua au miti na kusafisha vyoo.
 Kuchukua na kupeleka majalada na hati nyingine kwa maofsa waoaohusika na kuyarudisha sehemu zinazohusika.
·
 Kusambaza barua za Ofisi kama jinsi atakavyoelekezwa.
·
 Kutayarisha chai ya ofisi.
·
 Kupeleka mfuko wa posta na kuchukua barua kutoka Posta.
·
 Kuhakikisha kwamba vifaa vya ofisi vinaweka sehemu zinazostahili.
·
 Kufungua Milango na Madirisha ya Ofisi wakati wa Asubuhi na Jioni kuyafunga baada ya Saa za Kazi.
·
 Kudurufu barua au machapisho kwenye mashine za kudurufia.
·
 Kuweka katika majalada nakala za barua zilizochapwa katika ofisi walizomo.
·
 Kutunza vifaa vya ofisi na kutoa ripoti kila vinapoharibika.
·
33.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliofaulu vizuri katika masomo ya Kiingereza, Kiswahili na Hisabati.
33.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.
34.0 MLINZI (SECURITY GUARD) – NAFASI 119
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Pwani, Kigoma, Dar es Salaam, Morogoro, Mara na Mtwara, Rukwa, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara, Kigoma/Ujiji na Sumbawanga, Halmashauri ya Mji wa Njombe, Halmshauri ya Wilaya ya
22
Chamwino, Mkinga, Bukoba, Morogoro, Kibaha, Songea, Mwanga, Pangani, Biharamulo, Same, Mkuranga na Rufiji.
34.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.
·
 Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.
·
 Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku.
·
 Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.
·
 Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.
·
 Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama
· vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika.
 Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.
·
34.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya
· mgambo/polisi/JKT au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.
34.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS.A kwa mwezi.
35.0 MKUTUBI DARAJA LA II (LIBRARIAN II) - NAFASI 4
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
35.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuratibu shughuli za ukuzaji wa utamaduni kitaifa.
·
 Kuratibu na kusimamia shughuli za ukaguzi na udhibiti maonyesho ya filamu na video kat
·ika ngazi ya taifa.
 Kushauri juu ya mitaala ya mafunzo na elimu ya fani za utamaduni.
·
 Kusimamia usajili wa vikundi na vyama vya fani za utamaduni.
·
 Kushauri juu ya ujenzi wa majukwaa na majumba ya utamaduni yenye hadhi ya kitaifa.
·
 Kuratibu shughuli za utafiti wa mila na desturi nchini.
·
 Kusimamia na kuratibu ukuzaji wa matumizi fasaha na sanifu ya Kiswahili nchini.
·
 Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa kituo.
·
23
35.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza katika fani ya ukutubi au sifa
· inayolingana na hiyo kutoka katika vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
35.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi.
36.0 MSAIDIZI WA MAKTABA (LIBRARY ASSISTANT) - NAFASI 19
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Msajili Mahakama ya Rufaa
36.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandikisha wasomaji.
·
 Kupanga vitabu katika rafu (Shelves)
·
 Kuazimisha na kupokea vitabu vinavyoazimwa.
·
 Kukarabati vitabu vilivyochakaa,
·
 Kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wa kituo.
·
36.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliohitimu cheti cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha IV
· ambao wamefaulu mafunzo ya Wasaidizi wa Maktaba (National Library Assistants Certificate Course) yatolewayo na Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania au wenye cheti kinacholingana na hicho.
36.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS. B kwa mwezi.
37.0 MKUFUNZI DARAJA LA II – UCHENJUAJI MADINI MIGODI (TUTOR GRADE II) NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini
37.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo.
·
 Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo
·
 Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo
·
 Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza.
·
 Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao
·
 Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na wahandisi wa
· uchenjuaji/ jiolojia na wahandisi wa migodi wa viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo (field practiclas)
 Kufanya kazi nyingine kulingana na kiwango cha elimu kulingana na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
24
37.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika fani ya Sayansi ya Uhandisi
· wa Uchenjuaji Madini, Jiolojia au uhandisi Migodi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali na wenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu.
37.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
38.0 MKUFUNZI MSAIDIZI (TUTORIAL ASSISTANT) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini
38.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa mtiririko (lesson plan) wa somo
·
 Kufundisha kozi YA astashahada ya uchenjuaji madini, jiolojia na utafutaji wa madini na uhandisi migodi
·
 Kusimamia maso mo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo
·
 Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo
·
 Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo
·
 Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa kitengo (maabara, karakana na museum n.k)
·
 Kufanya kazi nyingine kulingana na kiwango cha elimu kulingana na fani yake kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
38.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne (IV) au sita (VI) waliofuzu
· mafunzo ya Stashahada ya Uhandisi wa Uchenjuaji Madini, Jiolojia au uhandisi Migodi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali
38.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
39.0 MHANDISI DARAJA LA II - (ICT/TELECOMUNICATION ENGINEER GRADE II) – NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
39.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa kama “
· Profession Engineer” na Bodi ya Usajili wa Wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa
 Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomhusu ili kumwezesha
· Mhandisi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi
39.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada/ Stashahada ya Juu ya Uhandisi wa mawasiliano kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
·
25
39.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
40.0 MHANDISI DARAJA LA II - MADINI (MINING ENGINEER GRADE II) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini
40.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa kama “
· Profession Engineer” na Bodi ya Usajili wa Wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa
 Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomhusu ili kumwezesha
· Mhandisi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi
 Kuwaelimisha wachimbaji wadogo kuhusu sheria, kanuni na masuala ya kitaalamu ya uchimbaji, uchenguaji na masoko ya madini
·
 Kupitia taarifa za kila mwezi za ofisi za madini
·
 Kukusanya na kuchambua taarifa za takwimu za uchimbaji madini
·
 Kutunza kumbukumbu za usafirishaji, utangazaji biashara na matumizi ya baruti
·
40.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada/ Stashahada ya Juu ya Uhandisi wa Madini kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
·
40.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
41.0 MHANDISI DARAJA LA II - MAJI (WATER ENGINEER GRADE II) – NAFASI 8
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Kigoma, Dar es Salaam, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Chamwino na Masasi
41.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Ujenzi na Usimamizi wa Vituo vya Hali ya Hewa, Vituo vya Upimaji wingi
· wa Maji mitoni (Discharge Measurements) na Uchukuaji wa sampuli za mchanga unaosafirishwa kwenye mito (sedment sampling) na kuzitafsiri.
 Ukusanyaji wa takwimu kwenye vituo vya hali ya hewa na upimaji wa wingi wa maji mitoni na kuzitafsri takwimu hizo.
·
 Kuandaa na kutayarisha Taarifa ya robo, nusu na mwaka mzima katika sehemu ya Haidrologia.
·
 Kutayarisha kielelezo cha mtiririko wa maji ( Rating Curve Eqution )
·
41.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uhandisi wa Rasilimali za Maji kutoka vyuo
· vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
26
41.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
42.0 MHAIDROLOJIA DARAJA LA II (HYDROLOGIST GRADE II) – NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga,
42.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Ujenzi na Usimamizi wa Vituo vya Hali ya Hewa, Vituo vya Upimaji wingi
· wa Maji mitoni (Discharge Measurements) na Uchukuaji wa sampuli za mchanga unaosafirishwa kwenye mito (sedment sampling) na kuzitafsiri.
 Ukusanyaji wa takwimu kwenye vituo vya hali ya hewa na upimaji wa wingi wa maji mitoni na kuzitafsri takwimu hizo.
·
 Kuandaa na kutayarisha Taarifa ya robo, nusu na mwaka mzima katika sehemu ya Haidrologia.
·
 Kutayarisha kielelezo cha mtiririko wa maji ( Rating Curve Eqution )
·
42.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada ya Haidrolojia au ya Uhandisi wa Rasilimali
· za Maji kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
42.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
43.0 MJIOLOJIA DARAJA LA II (GEOLOGIST GRADE II) – NAFASI 9
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini
43.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupokea na kufuatilia upatikanaji wa taarifa za utafiti wa mistari ya
· uchungi na mitetemo katika utafutaji wa madini au petroli;
 Kukusanya na kuchambua taarifa za mitetemo, mienendo
· na mabadiliko ya miamba ardhini;
 Kutunza kumbukumbu za miamba, madini au petroli;
·
 Kutayarisha rasimu za taarifa za kitaalam na kuziwasilisha kunakohusika;
·
 Kusimamia matumizi ya vifaa vya kitaalam na utunzaji wake; na
·
 Anaweza kuongoza timu ya mafundi sanifu wanapokuwa katika shughuli za utafutaji wa madini au petroli.
·
43.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Sayansi katika fani ya Jiolojia (pamoja na
· fani za Jiofizikia au Jiokemia) au sifa nyingine zinazolingana na hizo kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali,
27
43.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
44.0 MHANDISI DARAJA LA II – NISHATI (ENERGY ENGINEER) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Tanga.
44.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi chini ya uangalizi wa mhandisi aliyesajiliwa na bodi ya
· Usajili wa Wahandisi kama “Professional Engineer” ili kupata uzoefu unaotakiwa.
 Kufanya kazi kwa vitendo katika fanii zinazomhusu ili kumwezesha
· Mhandisi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi.
 Kufuatilia taarifa za upatikanaji, uzalishaji, ugavi na matumizi ya nishati.
·
 Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu miradi mbalimbali kuhusu bei za nishati ndani na nje ya nchi.
·
 Kupitia mapendekezo ya miradi project proposals mbalimbali ya nishati yanayowasilishwa Wizarani.
·
 Kuhakiki maombi ya wawekezaji na mkandarasi kuhusu vivutio vya uwekezaji.
·
44.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za Uhandisi wa Nishati (Renewable Energy, Mechanical Engineering or Elecrical Engineering)
44.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
45.0 MHANDISI DARAJA LA II - UJENZI (ENGINEER GRADE II – CIVIL) – NAFASI 9
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Mwanga, Masasi na Newala.
45.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa
· (Professional engineer) na bodi ya usajili ya Wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa.
 Kufanya ukaguzi wa Barabara, Madaraja na Majengo mbalimbali
·
 Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani
·
 Kufuatilia utekezaji wa Sheria, Kanuni za ujenzi wa Barabara na Majengo
·
 Kutayarisha bajeti ya mwaka ya Ujenzi na matengenezo ya Barabara, Madaraja na Majengo
·
 Kusimamia na kuratibu kazi za Barabara, Madaraja na Majengo zinazotolewa na makandarasi
·
28
45.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo
· Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Uhandisi Ujenzi.
45.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
46.0 MHANDISI DARAJA LA II - VIWANDA (INDUSTRIAL ENGINEER GRADE II) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara
46.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomhusu ili kumwezasha
· Mhandisi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi
 Kuwaelimisha wenye viwanda vidogo vidogo kuhusu sheria, kanuni na
· masuala ya kitaalamu ya viwanda, uchenguaji na masoko ya bidhaa
 Kupata taarifa za kila mweiz za ofisi za viwanda
·
 Kukusanya na kuchambua taarifa na takwimu za viwanda vidogo na vikubwa.
·
46.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo
· Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Uhandisi Viwanda.
46.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
47.0 MHANDISI DARAJA LA II – UFUNDI NA UMEME (MECHANICAL AND ELECTRICAL ENGINEER GRADE II) – NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.
47.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na bodi ya
· Usajili wa Wahandisi kama “Professional Enginner” ili kupata uzoefu unaotakiwa.
 Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomhusu ili kumwezesha
· Mhandisi kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi
 Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu magari na mitambo mbalimbali, bei
· za magari na mitambo na vifaa vya umeme ndani na nje ya nchi
 Kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) mbalimbali ya ufundi na umeme yanayowasilishwa.
·
29
47.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo
· Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Uhandisi Umeme.
47.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
48.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - HAIDROLOJIA - (TECHNICIAN GRADE II - HYDROLOGY) – NAFASI 19
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, Singida, Songea, Kigoma/Ujiji na Sumbawanga, Halmshauri ya Wilaya ya Mkinga, Sengerema, Bukoba, Tunduru, Mkuranga na Masasi.
48.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Ukusanyaji na ukaguaji wa takwimu za maji
·
 Kutunza takwimu za maji
·
 Kuingiza takwimu za maji kwenye fomu Na: H: 12 tayari kwa kutumiwa kwenye michoro
·
 Kuchora hydrograph za maji
·
 Utengenezaji visima vya rekoda, stendi za winchi, sinia za maji ‘cable way post” n.k.
·
 Kufanya matengenezo ya vifaa vyote vya kupimia maji na hali ya hewa
·
 Kuingiza takwimu kwenye kompyuta
·
 Kufundisha wasoma vipimo
·
48.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa Wahitimu wa vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali
· ambao wana cheti cha ufundi ( FTC) au Stashahada na wenye uzoefu wa kazi wa muda usiopungua miaka mitano na ujuzi wa kutumia kompyuta.
48.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
49.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - HAIDROJIOLOJIA (TECHNICIAN GRADE II - HYDROGEOLOGIST) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa aili ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea.
49.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhakiki nuwezo wa kisima kutoa maji (Pump test)
·
 Kuchora ramani za eawali za kiufundi
·
 Kuhifadhi taarifa za kikazi (Field Data) zipatikanazo wakati wa utafiti wa maji chini ya ardhi.
·
30
49.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa Wahitimu wa vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali
· ambao wana cheti cha ufundi ( FTC) au Stashahada ya Kawaida na wenye uzoefu wa kazi wa muda usiopungua miaka mitano na ujuzi wa kutumia kompyuta.
49.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.
50.0 FUNDISANIFU DARAJA LA II (UJENZI) - (CIVIL TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 39
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Morogoro, Singida, Halmshauri ya Wilaya ya Handeni, Monduli, Bukoba, Sengerema, Newala, Tunduru, Rufiji, Mkuranga, Babati, Mpanda, Nkasi na Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Songea, Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS).
50.1 MAJUKUMU YA KAZI
Mafundi sanifu watapangiwa kazi na Mamlaka zinazohusika katika fani zao kutegemea cheo, ujuzi, uzoefu na uwezo wao na utendaji mzuri wa kazi kama ifuatavyo:-
 Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;
·
 Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;
·
 Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;
·
 Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.
·
50.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu
· kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
51.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - UFUNDI NA UMEME (TECHNICIAN GRADE II MECHANICS & ELECTRICAL) – NAFASI 11
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Rukwa, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Pangani na Masasi
31
51.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya ukaguzi wa ubora wa magari ya Serikali na kurekebisha ipasavyo.
·
 Kufanya upimaji wa Mitambo na Umeme kufuatana na Maelekezo ya Mhandisi.
·
 Kufanya kazi za kutengeneza mitambo, magari,na vifaa vya Umeme
·
 Kufanya usanifu wa miradi midogo midogo ya umeme
·
 Kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya zinazowekwa kwenye karakana za ufundi na Umeme.
·
51.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu
· kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
51.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
52.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - MIGODI (MINING TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 9
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini.
52.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukagua na kupima viwanja kwa ajili ya waombaji wadogo wadogo
·
 Kusimamia wapimaji na kuhakikisha wanapima kwa kiwango kinachotakiwa
·
 Kuandaa “action plan” na kuhakikisha inafuatwa
·
52.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu
· kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
32
52.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
53.0 FUNDI SANIFU MAABARA YA MADINI DARAJA LA II - MIGODI (LABORATORY TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini.
53.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutayarisha vitendea kazi kwa matumizi mbalimbali ya kitaalam katika maabara
·
 Kupokea na kutunza kumbukumbu za sampuli zinazotolewa kwenye maabara
· kwa shughuli mbalimbali kutoka idara ya jiolojia, wachimbaji wadogo wadogo na makampuni ya madini
 Kusaga sampuli za mawe, udongo, madini na mchanga kwa ajili
· kuchanganuliwa katika maabara ya kemia na kuchambuliwa katika maabara ya uchambuzi
 Kutayarisha sampuli kwa ajili ya utambuzi kutumia darubini (thin section)
·
53.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu
· kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
53.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
54.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - KOMPYUTA (COMPUTER TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 3
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Halmshauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji na Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda
54.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi
·
54.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani yenye muelekeo wa kompyuta
33
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu
· kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya kompyuta
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani yenye muelekeo wa kompyuta kutika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
54.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
55.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - (TECHNICIAN GRADE II - PLUMBING) – NAFASI 20
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
55.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi za ufundi bomba atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi
·
55.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani ya fundi bomba (Plumbing)
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi bomba ya miaka
· mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi bomba kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
55.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
56.0 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - (TECHNICIAN GRADE II – COMMUNITY DEVELOPMENT) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Manispaa ya Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Pangani, Halmashauri ya Jiji la Mwanza
56.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanavijiji teknolojia na ufundi
·
 Ujenzi wa nyumba bora za gharama nafuu
·
 Kusimamia utengenezaji wa majiko bora , ufinyanzi, uhunzi na useremla
·
 Utengenezaji wa nyenzo za usafiri kama mikokoteni, uchimbaji wa
· visima, ujenzi wa vyoo bora, ujenzi wa mabanda na usimikaji wa mashine za kusaga
 Kusaidia, kuanzisha na kutoa ushauri wa kiufundi kwa vikundi vya ujenzi
·
34
 Kuratibu shghuli za ufundi na teknolojia katika ngazi ya kata
·
 Kutoa ushauri kuhusu miradi ya ujenzi, ufundi na teknolojia
·
 Kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya ujenzi, ufundi na teknolojia
·
 Kuandaa taarifa ya mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka mzima kuhusu shughuli zote za ujenzi, ufundi na teknolojia.
·
56.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:
 Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili
· kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani ya fundi sanifu maendeleo ya jamii
 Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi sanifu maendeleo ya
· jamii ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya fundi sanifu maendeleo ya jamii
 Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,
·
 Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi sanifu maendeleo ya jamii kutika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
·
56.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
57.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UMEME) – (ASISTANT TECHNICIAN - ELECTRICAL) - NAFASI 17
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
57.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya marekebisho madogo madogo ya umeme katika ofisi na nyumba za serikali.
·
 Kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
57.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha VI katika masomo ya Sayansi na kufuzu
· mafunzo ya mwaka mmoja katika ya fani za Ufundi Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. AU
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya
· Ufundi Hatua ya II kutoka chuocha ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi umeme.
57.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
35
58.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UASHI) – (ASISTANT TECHNICIAN - MASONRY) - NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
58.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kazi atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
58.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha VI katika masomo ya Sayansi na kufuzu
· mafunzo ya mwaka mmoja katika ya fani za Ufundi Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. AU
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya
· Ufundi Hatua ya II kutoka chuocha ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi umeme.
58.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
59.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (SEREMALA) – (ASISTANT TECHNICIAN - CARPENTRY) - NAFASI 12
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
59.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kazi atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
59.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha VI katika masomo ya Sayansi na kufuzu
· mafunzo ya mwaka mmoja katika ya fani za Ufundi Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. AU
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya
· Ufundi Hatua ya II kutoka chuocha ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi umeme.
59.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
60.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (BOMBA) – (ASISTANT TECHNICIAN - PLUMBING) - NAFASI 17
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
60.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kazi atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
36
60.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha VI katika masomo ya Sayansi na kufuzu
· mafunzo ya mwaka mmoja katika ya fani za Ufundi Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. AU
 Kuajiriwa waliomaliza kidato cha IV wenye Cheti cha Majaribio ya
· Ufundi Hatua ya II kutoka chuocha ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi umeme.
60.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
61.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (MAJI) (ASISTANT TECHNICIAN - WATER) NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Halmashauri ya Mji Njombe
61.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupima uwingi wa maji mtoni
·
 Kusoma kituo cha hali ya hewa
·
 Kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
61.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha VI waliohudhuria na kufaulu mafunzo
· ya mwaka mmoja kutoka kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali ambao wana cheti cha ufundi Daraja la III katika fani ya maji.
61.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
62.0 MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI II (COMMUNITY DEVELOPMENT ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 52
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Manispaa ya Mtwara na Kigoma/Ujiji. Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Babati, Pangani, Mkinga, Sengerema, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Mji Njombe, Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Kibondo na Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
62.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuwa kiungo kati ya wanakijiji, Afisa Mtendaji wa kata na watumishi
· wengine wa Serikali katika kutekeleza shughuli za maendeleo
 Kuhamasisha wanakijiji katika kazi za kujitegemea
·
 Kubainisha na kuratibu matumizi ya rasilimali kwa miradi ya kijiji
·
 Kukusanya, kutunza, kutafsiri na kusaidia wanakijiji kutumia takwimu
· na kumbukumbu mbalimbali kwa shughuli za maendeleo ya kijiji
 Kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kila mwezi kwa
· uongozi wa kijiji na kwa Afisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata
 Kuwahamisha na kuwawezesha wananchi kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji
·
37
 Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na kimaendeleo
·
 Kuratibu shughli za Asasi zisizo za kiserikali na kijamii
·
 Kuandaa tararifa za utekelezaji kazi vijinjini za kila mwezi, robo, nusu na mwaka mzima
·
 Kuratibu shughuli za kupambana na UKIMWI
·
62.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV/VI wenye Stashahada ya Maendeleo
· ya Jamii kutoka katika Vyuo vya Maendeleo ya Jamii (Buhare au Rungemba) au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
62.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi
63.0 AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA II (WARD EXECUTIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 106
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, Morogoro, Mtwara, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Bunda, Mafia, Biharamulo, Newala, Kondoa, Masasi, Mtwara na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
63.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atakuwa Mtendaji Mkuu wa Kata na kiungo cha Uongozi kwa Idara zote katika kata na atashughulikia masuala yote ya kata
·
 Atakuwa Mhamasishaji mkuu wa Umma katika mikakati mbalimbal.i ya uzalishaji, mali, kuondoa njaa na Umasikini.
·
 Atakuwa ni Katibu wa kamati ya maendeleo ya kata.
·
 Ataratibu na kusimamia upangaji wa shughuli za maendeleo ya kata, vijiji na Mtaa.
·
 Atatafsiri sera na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogondogo katika
· Kata yake.Atamsaidia Mkurugenzi Kuratibu na kusimamia shughuli za Uchaguzi katika Kata.
 Kumsaidia na kumwakilisha Mkurugenzi katika kusimamia maendeleo ya eneo lake.
·
 Kusimamia utendaji kazi wa wataalamu na watendaji wengine katikangazi ya Kata.
·
 Kuratibu na kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha kwa mkurugenzi na nakala kwa Katibu Tarafa.
·
 Atakuwa mwenyekiti katika vikao vinavyowahusisha wataalamu na watendaji wa vjiji, na NGO’S katika kata yake.
·
 Atakuwa Msimamizi na mratibu wa takwimu zote zinazokusanywa katika vijiji, vitongoji, na kata yake.
·
38
63.2 SIFA ZA MWOMBAJI.
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Sanaa yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii
· (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
63.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D. kwa mwezi.
64.0 AFISA MTENDAJI WA KATA DARAJA LA III (WARD EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 91
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Kigoma/Ujiji na Songea, Halmshauri ya Wilaya ya Chato, Songea, Handeni, Kibondo, Mkinga, Tunduru, Mbeya, Mkuranga, Kibaha, Kwimba, Njombe, Rufiji, Bukoba, Mwanga, Sengerema na Mpanda
64.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atakuwa Mtendaji Mkuu wa Kata na kiungo cha Uongozi kwa Idara zote katika kata na atashughulikia masuala yote ya kata
·
 Atakuwa Mhamasishaji mkuu wa Umma katika mikakati mbalimbali ya uzalishaji, mali, kuondoa njaa na Umasikini.
·
 Atakuwa ni Katibu wa kamati ya maendeleo ya kata.
·
 Ataratibu na kusimamia upangaji wa shughuli za maendeleo ya kata, vijiji na vitongoji.
·
 Atatafsiri sera na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogondogo katika
· Kata yake.Atamsaidia Mkurugenzi Kuratibuna kusimamia shughuli za Uchaguzi katika Kata.
 Kumsaidia na kumwakilisha Mkurugenzi katika kusimamia maendeleo ya eneo lake.
·
 Kusimamia utendaji kazi wa wataalamu na watendaji wengine katika ngazi ya Kata.
·
 Kuratibu na kuandaa taarifa za utekelezaji na kuziwasilisha kwa mkurugenzi na nakala kwa Katibu Tarafa.
·
 Atakuwa mwenyekiti katika vikao vya vinavyowahusisha wataalamu na watendaji wa vjiji, na NGO
·’S katika kata yake.
 Atakuwa Msimamizi na mratibu wa takwimu zote zinazokusanywa katika vijiji, vitongoji, na kata yake.
·
64.2 SIFA ZA MWOMBAJI.
 Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne au sita na kuhudhuria mafunzo ya
· Stashahada yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Stashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
64.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS C kwa mwezi.
39
65.0 AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA II (VILLAGE EXECUTIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 57
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri wafuatao:- Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Kondoa, Tandahimba,Wilaya ya Mbeya, Babati, Mkuranga, Simanjiro, Newala na Ruangwa
65.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Kijiji na Kamati zake
· katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.
 Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Kijiji na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya kijiji
·
 Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Kijiji.
·
 Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya kijiji
·
 Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Kijiji.
·
 Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Kijiji.
·
 Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake
· na kuziwasilisha kwenye Halimashauri ya Kijiji na baadae kwenye kata .
 Ataongoza vikao vya maendeleo ya Kijiji vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake.
·
 Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali.
·
 Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi.
·
 Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Kijiji.
·
 Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika kijiji.
·
65.2 SIFA ZA MWOMBAJI.
 Kuajiriwa wenye elimu ya kidato cha IV na VI waliohitimu Stashahada ya
· kawaida katika fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Stashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
65.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS C kwa mwezi.
66.0 AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III (VILLAGE EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 207
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri wafuatao:- Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Halmashauri ya Mji Njombe, Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Handeni, Mkinga, Sengerema, Tunduru, Babati, Masasi, Mtwara, Mwanga, Kwimba, Rufiji, Ngara, Tarime na Mpanda
40
66.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Kijiji na Kamati zake
· katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.
 Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Kijiji na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya kijiji
·
 Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Kijiji.
·
 Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya kijiji
·
 Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Kijiji.
·
 Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Kijiji.
·
 Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake
· na kuziwasilisha kwenye Halimashauri ya Kijiji na baadae kwenye kata.
 Ataongoza vikao vya maendeleo ya Kijiji vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake.
·
 Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali.
·
 Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi.
·
 Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Kijiji.
·
 Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika kijiji.
·
66.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Elimu ya Kidato cha Nne au cha sita waliohitimu Astashahada (Certificate) katika Fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Astashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
66.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B kwa mwezi.
67.0 AFISA MTENDAJI MTAA II (MTAA EXECUTIVE OFFICER GRADE II) - NAFASI 36
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Sumbawanga
67.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutoa ushauri katika utekelezaji wa sheria za Serikali za Mitaa.
·
 Kutoa ushauri juu ya uanzishaji na uendeshaji wa mamlaka mpya za Serikali za Mitaa.
·
 Kutoa ushauri juu ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali za Mitaa.
·
 Kusimamia na kushauri juu ya matumizi bora ya fedha za Serikali.
·
 Kutayarisha taarifa za robo mwaka na mwaka zinazohusu mwenendo wa Serikali za Mitaa.
·
41
 Kufanya kazi nyingine zitakazoagizwa na Watendaji, Wasimamizi wa masuala ya Serikali za Mitaa.
·
67.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne au sita na kuhudhuria mafunzo ya
· Stashahada ya yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Stashahada ya Sheria au Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
67.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.
68.0 AFISA MTENDAJI MTAA DARAJA LA III (MTAA EXECUTIVE OFFICER GRADE III) – NAFASI 46
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, Morogoro, Mtwara, Kigoma/Ujiji na Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji.
68.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atakuwa Mtendaji na Mshauri Mkuu wa Serikali ya Mtaa na Kamati zake
· katika Mipango ya Maendeleo ya kijamii na Utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo.
 Atakuwa Afisa Mhasibu wa Serikali ya Mtaa na atasimamia mapato na matumizi ya Serikali ya Mtaa
·
 Atakuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika Mtaa
·
 Ataratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Mtaa
·
 Atakuwa Katibu wa Kamati ya Halmashauri ya Mtaa.
·
 Atatafsiri Sera, ataratibu na kusimamia utekelezaji wa Sheria ndogondogo za Halmashauri ya Mtaa
·
 Ataratibu na kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake
· na kuziwasilisha kwenye Halimashauri ya Mtaa na baadae kwenye Kata.
 Ataongoza vikao vya maendeleo ya Mtaa vitavyowahusisha wananchi na wataalamu waliopo kwenye eneo lake.
·
 Atahamasisha wananchi katika kampeni za kuondoa njaa, umasikini, na kuongeza uzalishaji mali.
·
 Atasimamia matumizi bora ya Nguvu kazi.
·
 Atakuwa Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya Kitaalamu Katika Mtaa.
·
 Atasimamia ukusanyaji wa kumbukumbu za walipa kodi, wataalamu mbalimbali na NGO waliopo katika Mtaa.
·
68.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Elimu ya Kidato cha Nne au cha sita waliohitimu
· Astashahada (Diploma) katika Fani yoyote yenye mwelekeo wa Sayansi ya Jamii (Social Sciences) Utawala, (Public Administration and Local Gorvernment), Atashahada ya Sheria au
42
Sifa nyingine inayolingana na hizo kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
68.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS B kwa mwezi.
69.0 AFISA USTAWI WA JAMII DARAJA LA II (SOCIAL WELFARE OFFICER GRADE II) – NAFASI 25
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri wafuatao: - Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Singida, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Handeni, Mkinga, Newala, Tandahimba, Bahi na Chamwino na Halmashauri ya Jiji la Mwanza
69.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuendesha Usaili wa wahudumia (watu wenye ulemavu, wazee, familia zenye matatizo, watoto na vijana wenye matatizo mbalimbal
·i).
 Kufanya ukaguzi wa mazingira wanayoishi wahudumiwa ili kupata taarifa zao kamili
·
 Kuandaa taarifa za usaili na ukaguzi wa mazingira ya wahudumiwa.
·
 Kupokea na kukusanya taarifa za Ustawi wa Jamii kutoka kwa wadau na vituo mbalimbali vya Ustawi wa Jamii.
·
 Kupokea na kukusanya takwimu zinazohusu huduma za watu wenye ulemavu, wazee, malezi ya watoto na familia zenye matatizo.
·
 Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya uandikishaji vituo
· vya kulelea watoto wadogo mchana, malezi ya kambo (foster care) na vituo vya walezi wa watoto wadogo mchana.
 Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya msaada wa Rais
· kutoka kwa akina mama, walojifungua watoto watatu au zaidi kwa mara moja.
 Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya watoto yatima au wanaohitaji misaada mbalimbali
·
 Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi mbalimbali toka kwenye familia za watu wenye dhiki
·
 Kuhoji na kuandaa taarifa za washitakiwa.
·
 Kusimamia wahudumiwa katika makazi, vyuo vya mafunzo ya Ufundi Stadi
· vya watu wenye ulemavu, Mahabusu za watoto na shule za maadilisho.
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.
·
69.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya BA (Social Works or Sociology) au
· Stashahada ya juu ya Ustawi wa Jamii (Advanced Diploma in Social Works) kutoka Chuo cha elimu ya juu kinachotambuliwa na Serikali
43
69.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
70.0 MSAIDIZI USTAWI WA JAMII DARAJA LA II (SOCIAL WELFARE ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 6
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Ruangwa
70.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutambua na kuhudumia watu walio katika makundi maalum na mazingira hatarishi.
·
 Kukusnya takwimu zinazohusu watu walio katika makundi maalum na mazingira hatarishi.
·
 Kuchambua na kuandaa orodha ya maombi mbalimbali kutoka kwenye familia na watu wenye dhiki.
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.
·
70.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha mafunzo ya mwaka mmoja ya Ustawi wa Jamii kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
70.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi.
71.0 AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 22
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waajiri wafuatao:- Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Mtwara, Sumbawanga, Simanjiro, Halmashauri ya Mji Njombe, Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba, Newala, Nkasi, Bukoba, Sengerema, Rufiji, na Mpanda na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
71.1 MAJUKUMU YA KAZI
Maafisa Maendeleo ya Jamii Dalaja la II watapangiwa kazi katika ngazi za Kata au Makao Makuu ya Halmashauri na kazi zao zitakuwa zifuatazo:
 Kuandaa na kupendekeza mipango na mikakakti ya kubadili fikra za watu
· ili waweze kuwa na mawazo ya maendeleo sawia na Sera za Serikali na wakati uliopo
 Kupitia mbinu shirikishi kuwezesha jamii kuanzisha miradi ya kijamii kama vile:-
·
- Usafi wa mazingira
- Ujenzi wa nyumba bora
- Ujenzi wa shule
- Ujenzi wa zahanati
- Kuchimba au kuzifanyia matengenezo barabara hasa za vijijini
- Ujenzi wa majosho
- Uchimbaji wa visima vifupi
44
- Utengenezaji wa malambo
 Kuhamasisha matumizi endelevu ya mazingira
·
 Kusambaza na kuhamsisha matumizi ya teknolojia sahihi kama vile uvunaji wa maji ya mvua, majiko sanifu, matumizi ya mikokoteni
·
 Kuhamasisha watu kutumia huduma za mafunzo ya Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi
·
 Kuwasadia wanachi vivijini kuandaa maandiko (Project Write ups) ya kuombea fedha za kuendesha miradi yao
·
 Kuhamasisha, kuandaa na kutoa elimu kwa umma kuhusu uraia na Utawala bora
·
 Kukusanya, kutunza, kutafsiri na kusambaza takwimu na kumbukumbu muhimu kwa ajili ya matumizi ya jamii
·
 Kuwezesha wananchi kupambana na mila zenye madhara kwa afya za wanchi
· hasa wanawake na watoto wa kike, kuenea kwa virus vya UKIMWI na magonjwa ya mlipuko.
 Kuelimisha viongozi wa Serikali za Vijiji, Dini na Mashirika yasiyo ya
· Kiserikali kuhusu Sera mbalimbali za Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na kutumia Sera hizo
 Kutoa taarifa za hali ya jamii kwa ngazi mbalimbali
·
71.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Shahada au Stashahada ya Juu ya Maendeleo ya
· Jamii kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali katika fani zifuatazo:-
 Maendeleo ya Jamii (Community Development)
§
 Elimu ya Jamii (Sociology)
§
 Masomo ya Maendeleo (Development Studies)
§
 Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project Planning and Management)
§
 Maendeleo na Jinsia (Gender and Development)
§
71.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
72.0 MLEZI WA WATOTO MSAIDIZI (CHILD CARE ASSISTANT) – NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga.
72.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kulea watoto katika vituo vya kulelea Watoto wadogo mchana
·
 Kutoa mafunzo kwa akina mama juu ya malezi bora ya watoto wadogo wenye umri kati ya miaka 0 hadi 8
·
 Kusaidia shughuli za kinga za magonjwa ya watoto vijijini/sehemu au eneo la kituo
·
 Kuwa kiongozi wa kituo cha malezi ya awali ya Watoto wadogo
·
45
72.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajriwa wahitimu wa kidato cha nne waliofaulu mafunzo ya mwaka mmoja
· ya malezi ya awali ya watoto wadogo wenye umri kati ya miaka 0 hadi 8 kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali au wenye cheti cha mwaka mmoja cha mafunzo ya Ustawi wa Jamii.
72.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B kwa mwezi.
73.0 AFISA UGAVI DARAJA LA II (SUPPLIES OFFICER GRADE II) – NAFASI 25
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Tanga, Rukwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania, Halmashauri ya Manispaa ya Pangani, Singida, Songea, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Morogoro, Biharamulo, Njombe, Tunduru, Babati Rufiji na Mpanda
73.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya takwimu za kusaidia kutayarishwa makisio ya vifaa
· vinavyohitajika (Material Requirement Budget) na Mpango wa Ununuzi (Procurement Plan).
 Kukusanya na kutunza takwimu za utendaji za Wazabuni mbalimbali.
·
 Kukusanya na kutunza takwimu za upokeaji, utunzaji, na usambazaji wa vifaa.
·
 Kusimamia utunzaji wa maghala na hati/kumbukumbu ya vifaa vilivyomo ghalani.
·
 Kusimamia upokeaji, utunzaji na usambazaji wa vifaa (Physical Distribution).
·
 Mfumo wa uwekaji na utunzaji wa vifaa ghalani (Location Index Design).
·
 Kusimamia ukaguzi wa kuhesabu vifaa mara kwa mara (Perpetual Stock Checking) ghalani.
·
 Kutayarisha Taarifa za kazi katika vipindi maalumu.
·
 Kuhesabu na kutoa taarifa ya thamani ya vifaa vilivyomo ghalani kila mwisho wa mwaka (Annual Stock Taking).
·
 Kufanya kazi zingine ambazo atapangiwa.
·
73.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Biashara (B.Comm) yenye mchepuo wa ugavi au
· Stashahada ya Juu ya Ugavi (Advanced Diploma in Materials Management) inayotolewa na Chuo kinachotambuliwa na Bodi ya Taifa ya usimamizi wa Vifaa.
73.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D mwezi.
46
74.0 AFISA UGAVI MSAIDIZI (ASSISTANT SUPPLIES OFFICER) – NAFASI 19
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara na Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Njombe, Newala, Tunduru, na Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania.
74.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutunza ghala la vifaa lenye thamani ndogo.
·
 Kupokea vifaa vipya vitakavyoletwa na
· wazabuni mbalimbli na kupokea vifaa ambavyo vimetumika lakini vinahitaji kutunzwa kabla ya kufutwa.
 Kufungua na kutunza “Bin Card” kwa kila kifaa kilichopo ghalani.
·
 Kufungua “Ledger” ambayo itatunza kumbukumbu ya vifaa vinavyoingia, kutunzwa na kutoka kwa nyaraka mbalimbali.
·
 Kutoa vifaa kwa wateja na watumiaji wengine.
·
 Kuhakikisha kwamba ghala na vifaa vilivyomo vinatunzwa katika hali ya usafi na kwa usalama.
·
 Kuandaa hati za kupokelea vifaa.
·
 Kufanya kazi zingine atakazopangiwa.
·
74.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye cheti cha “National Store-Keeping Certificate au
· “Foundation Certificate” kitolewacho na Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa Vifaa au wenye Cheti kinachotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa Vifaa.
AU
 Kuajiriwa wenye Diploma ya Kawaida “Ordinary Diploma in Materials
· Management” kutoka Chuo kinachotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa Vifaa.
74.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.A na B kwa mwezi
75.0 AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) – NAFASI 12
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Rufiji, Newala, Kibondo, Pangani, Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Sumbawanga
75.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutekeleza Sera ya Uvuvi.
·
 Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.
·
 Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira.
·
 Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa, mito, mabwawa na malambo.
·
47
 Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu Uvuvi bora, utengenezaji na udhifadhi
· bora wa Samaki na mazao ya uvuvi, Biashara na Masoko ya Samaki pamoja na Ufugaji wa Samaki na viumbe wengine wa majini.
 Kutoa leseni za uvuvi.
·
 Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.
·
 Kusimamia na kutekeleza Sheria za Uvuvi (k.m. kuzuia uvuvi haramu).
·
 Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli.
·
 Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.
·
 Kutoa ushauri na Mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya rasilimali ya uvuvi.
·
 Kukagua ubora wa Samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya Kitaifa.
·
75.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (Bachelor Degree) katika fani za
· Sayansi ya Uvuvi (Fisheries Science/Management, Zoology, Microbiology, Marine Biology, Food Science and Aquaculture).
75.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
76.0 MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (FISHERIES ASSISTANT II) – NAFASI 9
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Newala, Mwanga, Rufiji, Pangani, Morogoro, Nkasi na Halmashauri ya Mji Njombe na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
76.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvi.
·
 Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki.
·
 Kutega mitego Ziwani au Baharini.
·
 Kutengeneza nyavu ndogo ndogo.
·
 Kuwapa chakula samaki katika mabwawa.
·
 Kuvua samaki katika mabwawa.
·
 Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi.
·
 Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki.
·
 Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki.
·
 Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu ya kuzingatia.
·
76.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye stashahada
· (Diploma) ya Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
48
76.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi
77.0 NAHODHA DARAJA LA II – NAFASI 4 (SKIPPER GRADE II)
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Halmashauri ya Wilaya ya Mafia.
77.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kubuni na kuunda zana za kuvulia samaki (Fishing Gears).
·
 Kutunza na kutengeneza zana za kuvulia samaki.
·
 Kuongoza na kuendesha meli/boti ndogo za futi 40 zenye uzito wa kuandikishwa wa tani 50-200 (GRT).
·
 Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli/boti.
·
77.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita (VI) wenye Stashahada (Diploma)
· ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Chuo cha Uvuvi Mbegani au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
77.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.
78.0 AFISA WANYAMAPORI DARAJA LA II (WILDLIFE OFFICER GRADE II) - NAFASI 3
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Rukwa na Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.
78.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutekeleza kazi za ushirikishaji wadau katika uhifadhi.
·
 Kudhibiti utoaji wa leseni za biashara ya nyara na vibali vya kukamata wanyama hai.
·
 Kushiriki katika kusuluhisha migororo ya matumizi ya wanyamapori.
·
 Kudhibiti matumizi haramu ya leseni za uwindaji na kuhakikisha kufuatwa kwa maadili katika kutumia wanyamapori
·
 Kudhibiti matumizi haramu ya wanyamapori.
·
 Kufuatilia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya uhifadhi wanyamapori.
·
 Kuhakiki viwango vya kukamata wanyama hai kwa ajili ya biashara na ufugaji.
·
 Kufanya kazi za kuzuia ujangili.
·
 Kukusanya taarifa, na takwimu za Uhifadhi.
·
 Kutekeleza kazi za uhifadhi katika Mapori ya Akiba.
·
78.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Sayansi ya Wanyamapori kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.
·
49
78.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi
79.0 MHIFADHI WANYAMAPORI II (GAME WARDEN GRADE II) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mkuranga, Babati, Rufiji, Simanjiro, na Nkasi.
79.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi au mbuga za wanyama
·
 Kusimamia utekelezaji wa utaratibu wa uwindaji na utalii
·
 Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya wanyama hatari.
·
 Kukusanya na kulinda nyara za Serikali
·
 Kufanya usafi na ulinzi
·
 Kubeba na kutunza vifaa vya doria
·
 Kudhibiti uingiaji na utokaji wa watu na mali kwenye hifadhi
·
 Kutunza vielelezo vya ushahidi vya nyara
·
 Kudhibiti wanyamapori waharibifu
·
 Kukagua vibali na leseni za matumizi ya wanyamapori.
·
 Kudhibiti mioto mikali kwenye mapori.
·
79.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kidato cha IV au Kidato cha VI
·
 Wenye Stashahada/Astashahada ya Uhifadhi wa Wanyamapori kutoka Chuo
· cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
 Waliopitia mafunzo ya nidhamu na ukakamavu yanayotolewa na vyuo vya
· wanyamapori watapewa kipaumbele. Wale watakaopata nafasi lakini hawana mafunzo hayo, watapewa mafunzo husika kama sehemu ya mafunzo ya “Induction”.
79.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.B naC kwa mwezi.
80.0 MHIFADHI MAMBO YA KALE II (CONSERVATORS OF ANTIQUITIES GRADE II) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Pangani.
80.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushiriki katika kutunza na kuhifadhi mazingira ya vituo na maeneo ya Mambo ya Kale.
·
 Kushiriki katika kufanya kazi za ukarabati wa majengo
·
 Kushiriki katika kuboresha maeneo yenye umuhimu ya kihistoria.
·
 Kushiriki katika kufanya kazi za ufundi
·
 Kuratibu na kupokea wageni mbalimbali wanaotembelea Vituo vya Mambo ya Kale.
·
 Kushiriki katika kufanya utafiti na uhifadhi.
·
50
 Kushiriki kuandaa tathmini ya maeneo ambayo yamefanyiwa utafiti na uhifadhi.
·
 Kuratibu ushauri wa kurekebisha vipengele vya Sheria ya Mambo ya Kale.
·
 Kuendesha mafunzo ya Elimu ya Jamii kuhusu masuala ya utafiti na uhifadhi kwa njia ya semina, warsha na vipindi vya radio.
·
 Kushiriki katika kuandaa vipindi vya TV na Radio
·
 Kushiriki katika kuan
·daa kazi za maabara.
 Kushiriki katika kuandaa kumbukumbu za mambo ya kale.
·
80.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/stashahada ya juu ya Sayansi ya Jamii au
· Sayansi ya Asili, waliojiimarisha (major) katika mojawapo ya michepuo ya Jiologia, elimu ya viumbe, Akiolojia, Anthropolojia, Jiografia, Historia, Paleontolojia au Ethnolojia kutoka Vyuo vinavyotambulika na Serikali.
80.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi.
81.0 AFISA MISITU DARAJA LA II (FOREST OFFICER GRADE II) – NAFASI 13
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Lindi, Dar es Salaam, Tanga, Rukwa, Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara, Singida, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Sengerema, Tandahimba na Masasi, Halmashauri ya Jiji la Mwanza
81.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusimamia upandaji na uhudumiaji wa miti na misitu.
·
 Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa isiyozidi hekta 5,000 au ya asili isiyozidi hekta 10,000.
·
 Kufanya utafiti wa misitu.
·
 Kutekeleza Sera na Sheria za misitu.
·
 Kuendesha mafunzo ya Wasaidizi Misitu.
·
 Kukusanya takwimu za misitu.
·
 Kufanya ukaguzi wa misitu.
·
 Kupanga na kupima madaraja ya mbao.
·
 Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti.
·
 Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya miti na misitu kwa wananchi.
·
 Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu.
·
 Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu.
·
81.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Misitu kutoka chuo Kikuu cha kilimo cha Sokoine au Vyuo Vikuu vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
·
51
81.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi.
82.0 AFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING OFFICER GRADE II) – NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Halmashauri ya Jiji la Mwanza
82.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki.
·
 Kutangaza Sera na Sheria za ufugaji nyuki.
·
 Kufundisha masomo ya fani ya ufugaji nyuki.
·
 Kukusanya takwimu za rasilimali na ufugaji nyuki.
·
 Kupanga na kupima ubora wa mazao ya nyuki.
·
82.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada katika fani ya Ufugaji Nyuki au Sayansi ya
· Elimu ya Mimea, Elimu ya Wadudu au Elimu ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
82.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi
83.0 MSAIDIZI UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEE KEEPING ASSISTANT) – NAFASI 8
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mafia, Tandahimba, Rufiji, Tandahimba na Mbeya.
83.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusimamia manzuki.
·
 Kutunza hifadhi za nyuki.
·
 Kukusanya takwimu za ufugaji nyuki.
·
 Kutunza kumbukumbu za kazi za utafiti.
·
 Kuondoa nyuki wanaodhuru binadamu na mifugo.
·
 Kutoa leseni za biashara ya mazao ya nyuki.
·
 Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wananchi juu ya ufugaji endelevu wa nyuki na matumizi bora ya mazao ya nyuki.
·
 Kutunza makundi ya nyuki wanaouma na wasiouma.
·
83.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne au Sita wenye Astashahada (Cheti)
· au Stashahada (Diploma) ya Ufugaji Nyuki kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
52
83.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.B na C kwa mwezi
84.0 MSAIDIZI MISITU DARAJA LA II (FORESTRY ASSISTANT GRADE II) – NAFASI 5
Nafasi hii ni kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Pangani, Newala.
84.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya mbegu
·
 Kuhudumia na kutunza bustani za miti.
·
 Kutunza na kuhudumia miti na misitu.
·
 Kufanya doria.
·
 Kusimamia ukusanyaji mbegu na bustani za miti.
·
 Kukusanya takwimu za misitu.
·
 Kusimamia kazi za upandaji, utunzaji na uvunaji wa miti/misitu.
·
 Kukusanya maduhuli.
·
 Kupima mazao ya misitu.
·
 Kufanya doria.
·
84.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne au Sita wenye Astashahada (Cheti)
· au Stashahada (Diploma) ya Misitu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
84.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B/C kwa mwezi
85.0 MKUFUNZI DARAJA II (TUTOR GRADE II) – NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (Chuo Cha Ardhi Tabora)
NAFASI 2 - Usimamizi na Uthamini wa Ardhi (Land Management and Valuation)
NAFASI 1 - Mipangomiji (Town Planing)
NAFASI 1 - Teknolojia ya Uchapaji (Printing Technology)
NAFASI 1 - Sayansi ya Kompyuta (Computer Science)
85.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha
·
 Kutoa ushauri kwa wanachuo katika kazi maalum (projects).
·
 Kusimamia na kuongoza wanachuo katika kazi za darasani na nje.
·
 Kutoa ushauri wa kiufundi na kitaalam.
·
 Kuendesha tafiti na ushauri.
·
 Kuandaa taarifa za tathmini na mapendekezo ya mitaala ya masomo.
·
53
85.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya Juu katika mojawapo ya fani za
· Mipangomiji (Town Planing), Usimamizi na Uthamini wa Ardhi (Land Management and Valuation), Teknolojia ya Uchapaji (Printing Technology) au Sayansi ya Kompyuta (Computer Science) kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi au Vyuo Vikuu vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
85.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.E kwa mwezi
86.0 MWENYEKITI WA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA (CHAIRPERSON) – NAFASI 10
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
86.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusikiliza, kuamua migogoro yote ya Ardhi na Nyumba kwa mujibu wa
· Sheria Na 2 ya mwaka 2002 inayohu Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya
 Kusikiliza na kutoa uamuzi wa Rufaa kutoka Mabaraza ya Kata
·
 Kufanya marejeo kwa mashauri yaliyosikilizwa na mabaraza ya Kata.
·
 Kusimamia utekelezaji wa maamuzi ya Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya na Mabaraza ya Kata katika eneo husika.
·
86.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya Sheria na kuendelea kutoka Chuo kikuu
· kinachotambulika na serikali na kumaliza mafunzo ya kazini (internship)
 Awe na uzoefu wa miaka mitano (5) katika masuala ya Sheria na Kutolea uamuzi
·
 Awe mwadilifu na asiye na historia ya makosa ya jinai
·
 Awe na umri usiopungu miaka 35
·
86.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.J kwa mwezi
87.0 MSAJILI WA HATI MSAIDIZI– (ASSISTANT REGISTER OF TITLES) – NAFASI 1
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
87.1 MAJUKUMU YA KAZI
Watatekeleza majukumu yaliyoainishwa katika Sheria ya Ardhi kama ifuatavyo:
 Kusajili na kusimamia usajili wa nyaraka chini ya sheria, Sura Na. 117
·
 Kusajili na kusimamia usajili hati chini ya sheria, Sura Na. 334
·
 Kusajili na kusimamia usajili wa reheni ya mali zinazoharibika chini ya sheria, Sura Na. 210
·
 Kutunza kumbukumbu za hati na nyaraka zilizosajiliwa
·
 Kuwasiliana na wateja kuhusu milki za hati
·
54
 Kuwasiliana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu kesi zinazohusu usajili na kuandaa utetezi
·
 Kutoa ushahidi mahakamani kuhusu kesi zinazohusu milki za hati zilizosajiliwa
·
 Kumshauri msajili wa hati
·
87.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sheria (LLB) kutoka vyuo
· vinavyotambuliwa na Serikali na waliomaliza mafunzo ya uwakili yanayotambuliwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
87.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.E kwa mwezi
88.0 AFISA USAJILI MSAIDIZI DARAJA LA II (REGISTRATION ASSISTANT II) – NAFASI 5
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
88.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupokea na kuingi
·za kumbukumbu za hati katika kompyuta
 Kufungua majalada ya hati mpya
·
 Kupokea maombi na kutayarisha taarifa za uchunguzi wa hati( search report)
·
 Kufunga hati zilizokamilika (binding) na kuziwasilisha masjala.
·
88.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye astashahada ya Sheria (certificate in law), cheti cha
· Uthamini na Usimamizi wa Ardhi kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
88.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi
89.0 AFISA ARDHI DARAJA LA II (LAND OFFICER GRADE II) – NAFASI 17
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Mtwara, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mkinga, Simanjiro, Newala, Tunduru, Rufiji, Babati, Mufindi, Nkasi na Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara
89.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kusimamia uingizaji wa kumbukumbu katika kompyuta.
·
 Kushughulikia utayarishaji wa nyaraka za kisheria.
·
 Kufanya ukaguzi wa viwanja.
·
 Kutoa notisi na kupendekeza ubatilishaji wa miliki kwa visivyoendelezwa kwa mujibu wa sheria.
·
 Kuwasiliana na wateja kuhusu Hati zilizotayarishwa na kuwakabidhi.
·
55
89.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu katika fani ya Usimamizi
· ardhi na Uthamini au Shahada ya Sheria kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali wenye uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitano.
89.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.E kwa mwezi
90.0 MTHAMINI DARAJA LA II (VALUER GRADE II) – NAFASI 11
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Manspaa ya Singida, Kigoma/Ujiji na Sumbawanga. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Rufiji, Sengerema, Mwanga, Pangani, Babati na Masasi.
90.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la ardhi.
·
 Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta
·
90.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu katika fani ya Land
· management and Valuation kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi au Taasisi nyingine zinazotambuliwa na Serikali katika fani za Usimamizi Ardhi na Uthamini. Au
 Kuajiriwa wenye cheti cha NCPS katika fani ya Usimamizi Ardhi na Uthamini.
·
90.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi.
91.0 MPIMA ARDHI DARAJA LA II (LAND SURVEYOR GRADE II) – NAFASI 21
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Arusha, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Kibondo, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Kigoma/Ujiji na Songea, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mwanga, Songea, Mkinga, Mufindi, Tunduru na Masasi
91.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Sehemu ya Upimaji Milki (Cadastral Survey)
·
- Kuingiza taarifa za Upimaji (alpha numeric data) kwenye kompyuta.
 Sehemu ya Topographic na Geodetic Surveys
·
- Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye komputa.
56
 Sehemu ya Ramani
·
- Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment);
- Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)
- Kutunza kumbukumbu za picha za anga.
 Sehemu ya Hydrographic Surveys
·
-Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauges.
 Mpima Ardhi katika Serikali za Mitaa
·
- Kufanya kazi za nje ya Ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.
91.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Stastahada ya juu/Shahada kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi
· katika fani ya Upimaji Ardhi au Taasisi yoyote inayotambuliwa na National Council of Professional Surveyors (NCPS). Au
 Kuajiriwa wenye cheti cha East African Land Survey (EALSC) au National
· Council of Professional Surveyors Certificate (NCPSC) katika fani ya upimaji ardhi.
91.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi.
92.0 MSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT GRADE II) – NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Songea na Sumbawanga
92.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi chini ya uangalizi wa Msanifu Majengo aliyesajiliwa na
· Bodi ya usajili husika kama “Profession Architect” ili kupata uzoefu unaotakiwa.
 Kufanya kazi kwa vitendo katka fani zinazomhusu ili kumwezesha kupata
· sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili inayowahusu Wasanifu Majengo
 Kufuatilia upatikanaji wa taarifa na taaluma za za Usanifu wa Majengo
·
 Kupitia mapendekezo ya miradi (project proposals) mbalimbali ya majengo
·
92.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stastahada ya Juu ya Uhandisi Sanifu Majengo
· (Architects) kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali
92.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi.
57
93.0 MKADIRIAJI UJENZI DARAJA LA II (QUANTITY SURVEYOR GRADE II) – NAFASI 11
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Songea, Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Babati, Rufiji, Sengerema, Halmashauri ya Jiji la Mwanza
93.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa ratiba ya kazi, gharama za ujenzi (BOQ) na Hati za mikataba.
·
 Kuanda makisio ya gharama za miradi ya Ujenzi.
·
 Kukusanya takwimu na kufanya uchunguzi ( survey)ya ukarabati wa miradi ya Ujenzi
·
 Kuandaa bajeti ya miradi ya ujenzi
·
 Kuandaa taarifa za uthamini wa miradi ya ujenzi.
·
 Kwa kushirikiana na Mkadiriaji ujenzi kuandaa taarifa fupi za ujenzi wa miradi.
·
 Kushughulikia masuala yote ya utawala wa fedha za miradi, kuandaa hati / vibali maalumu vya ujenzi na mikataba.
·
 Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
·
93.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Awe na Shahada /Stashahada ya juu ya Uhandisi kutoka vyuo Vikuu
· vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Ukadiriaji Ujenzi (quantity Surveryor).
93.3 MSHAHARA.
Kwa kuzingatia viwango vya mishahara vya Serikali TGS E kwa mwezi
94.0 FUNDI SANIFU DARAJA II - UPIMAJI ARDHI (TECHNICIAN GRADE II - SURVEY) – NAFASI 13
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Babati, Rufiji, Mkinga, Morogoro, Newala, Tunduru na Babati
94.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla
·
 Kufanya upimaji wa awali na kusimika ardhini alama za upimaji
·
 Kufanya upimaji na kukusanya taarifa za takwimu zote za upimaji
·
 Kuchora “sketch” ya michoro ya upimaji
·
 Kufanya mahesabu ya upimaji
·
58
94.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha mafunzo
· ua ufundi ya miaka miwili katika fani ya Upimaji Ardhi kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
94.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
95.0 FUNDI SANIFU DARAJA II – UCHAPAJI RAMANI (TECHNICIAN GRADE II - (PHOTOLITHOGRAPHY) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
95.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa vifaa vya uchapaji wa ramani, vitabu, vipeperushi
·
 Kutoa nakala za picha za anga katika uwiano mbalimbali
·
 Kufanya maandalizi yanayohusu upigaji picha wa ramani na picha za anga
·
 Kuchapa ramani
·
95.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha
· mafunzo ua ufundi ya miaka miwili katika fani ya Uchapaji Ramani (Photolithography)
95.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
96.0 FUNDI SANIFU DARAJA II (URASIMU RAMANI) (TECHNICIAN GRADE II CARTOGRAPHY) – NAFASI 10
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Manipsaa ya Singida Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Bukoba, Morogoro, Babati, Newala, Pangani, Halmashauri ya Jiji la Mwanza
96.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya maandalizi ya uchoraji wa ramani za miji kadri ya uwiano unaohitajika
·
 Kutunza kumbukumbu za ramani na plani
·
 Kuchora plani za hati miliki, upimaji, mashamba na vijiji
·
 Kutoa nakala za plani za hati za viwanja, mashamba na vijiji
·
96.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha
· mafunzo ua ufundi ya miaka miwili katika fani za Mipangomiji, Nyumba, Upimaji Ardhi, Ramani [Upimaji Picha (Photogrammetry), Uchapaji Ramani (Photolithography) au Urasimu Ramani (Cartography)], Usimamizi Ardhi na Uthamini kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
59
96.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
97.0 FUNDI SANIFU DARAJA II – RAMANI (TECHNICIAN GRADE II - (MAPPING) – NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
97.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushughulikia madaai/malalamiko ya hati za viwanja, kuweka na kutunza kumbukumbu zake
·
 Kutunza kumbukumbu za “cadastrals surveys” na mahesabu yake
·
 Kuandaa nakala za “cadastral site plans”
·
 Kutunza miongozo ya ramani (maping guides) na viwanja
·
97.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha
· mafunzo ua ufundi ya miaka miwili katika fani ya Ramani (Mapping)
97.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi
98.0 MCHAPA HATI DARAJA LA II (DOCUMENT TYPIST GRADE II) – NAFASI 5
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Ajira, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Manipsaa ya Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Rufiji, Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
98.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuchapa taarifa za Uthamini na Hati za fidia
·
 Kuchapa Nyaraka na Hati za kumiliki ardhi
·
98.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne au cha Sita waliofaulu mtihani wa
· Uhazili Hatua ya II kutoka Chuo cha Watumishi wa Umma na ujuzi wa Kompyuta Hatua ya I na II kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
98.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B
99.0 AFISA SERIKALI ZA MITAA II (LOCAL GOVERNMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha na Rukwa
60
99.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kutoa ushauri katika utekelezaji wa Sheria za Serikali za Mitaa
·
 Kutoa ushauri juu ya uanzishaji na uendeshaji wa mamlaka mpya Serikali za Mitaa
·
 Kutoa ushauri juu ya makadirio ya mapato ya mapato na matumizi ya Seriakali za Mitaa
·
 Kusimamia na kushauri juu ya matumizi bora ya matumizi bora ya fedha Seriakali za Mitaa
·
 Kutayarisha taarifa za robo mwaka na mwaka zinazohusu mwenendo wa Serikali za Mitaa
·
 Kufanya kazi nyingine zitakazoagiwa na Watendaji, Wasimamizi wa masuala ya Serikali za Mitaa
·
99.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sanaa (BA/Management
· & Administration), Sheria (LLB) toka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali AU
 Kuajiriwa wenye Stashahada ya juu katika fani ya Serikali za Mitaa au
· Utawala (Local Government Administration or Public Administration) au Local Government Finance toka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
99.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D kwa mwezi.
100.0 MCHUMI DARAJA LA II (ECONOMIST GRADE II) – NAFASI 4
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
100.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhudumia kamati mbalimbali za Bunge (Kamati za mahesabu ya Serikali, Kamati ya mahesabu ya mashirika ya Umma)
·
 Kukusanya takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi kwa ajili ya
· uchambuzi na uandaaji wa sera na mipango ya kiuchumi na kijamii
 Kufanya utafiti na uchambuzi wa sera na vigezo vya kiuchumi jumla
·
 Kufanya utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika
·
 Kukusanya taarifa na takwimu zinazohitajika katika kubainisha vipaumbele vya ustawi namaendeleo ya jamii.
·
 Kutayarisha na kusambaza takwimu na taarifa za kiuchumi kwa wadau
·
100.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya Uzamili ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani ya Uchumi (Economics) au Fedha (Finance) kutoka Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta
61
100.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
101.0 MCHUMI DARAJA LA II (ECONOMIST GRADE II) – NAFASI 36
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Rukwa, Halmashauri ya Manipsaa ya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Mafia, Pangani, Tandahimba, Mkuranga na Halmashauri ya Jiji la Mwanza
101.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuhudumia kamati mbalimbali za Bunge (Kamati za mahesabu ya Serikali, Kamati ya mahesabu ya mashirika ya Umma)
·
 Kukusanya takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi kwa ajili ya
· uchambuzi na uandaaji wa sera na mipango ya kiuchumi na kijamii
 Kufanya utafiti na uchambuzi wa sera na vigezo vya kiuchumi jumla
·
 Kufanya utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika
·
 Kukusanya taarifa na takwimu zinazohitajika katika kubainisha vipaumbele vya ustawi namaendeleo ya jamii.
·
 Kutayarisha na kusambaza takwimu na taarifa za kiuchumi kwa wadau
·
101.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani zifuatazo;
 Uchumi (Economics)
·
 Takwimu (Statistics )
·
 Sayansi ya Uchumi Kilimo (BSc Agriculture Economics
· &Agribusness)kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta
101.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
102.0 AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER GRADE II) – NAFASI 21
Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, Mtwara, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga na Halmashauri ya Wilaya Babati, Pangani, Masasi, Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
62
102.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuwasiliana na Wizara nyingine ambazo zinafanya biashara, kupata
· takwimu ambazo zitatumika katika kutathimini mwenendo wa biashara na masuala mengine ya kibiashara.
 Kusambaza taarifa za kibiashara kwa wafanyabiashara.
·
 Kutathmini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko katika nchi mbalimbali ambazo bidhaa zetu zinauzwa.
·
 Kuandaa grafu na “chart” ambazo zinaonyesha, mwenendo wa bidhaa
· zinazoingizwa nchini na zile ziendazo nje kwa kila nchi ambazo hufanya biashara na Tanzania.
102.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha
· katika fani ya Uchumi, Masoko, Uendeshaji Biashara au inayolingana nayo kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salam au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.
102.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.
103.0 MPIGA CHAPA MSAIDIZI (ASSISTANT PRINTER) - NAFASI 7
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
103.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kukunja karatasi ngumu na kutengeneza ‘covers’ za vitabu, majarida,
· madaftari katika mahitaji mbalimbali kwa kugandisha, kuweka pamoja au kushona katika hali mbalimbali za ubora.
 Kukarabati vitabu, kumbukumbu mbalimbali au majarida kwa kuyawekea
· gamba jipya, au kurudisha katika hali yake ya mwanzo kutegemea na kifaa hicho kilivyoharibika.
 Kupanga vifaa vilivyotengenezwa katika makasha kwa vipimo vyake au katika seti.
·
 Kuendesha mashine za kukata karatasi/kupiga Chapa/Mashine za
· Composing, kushona au kugandisha vitabu, majarida, madaftari na vifaa vingine vinavyokuwa vimetakiwa kwa mtindo na ubora wake.
 Kupanga karatasi zitakazochapwa kwa hesabu ya kila kitabu, jarida, daftari na vinginevyo kwa kushonwa au kugandishwa pamoja.
·
103.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI katika masomo ya Sayansi, au
· Sanaa, wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Daraja la I (Trade Test Grade I) katika Lithography/Composing/Binding/Machine Minding, au waliohitimu mafunzo ya miaka miwili ya Kupiga Chapa.
63
103.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.B kwa mwezi
104.0 POLISI MSAIDIZI (AUXILIALRY POLICE) - NAFASI 24
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, Temeke
104.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuwa mlinzi wa Usalama wa watu na mali zao katika halmashauri
·
 Kuhifadhi maisha na mali za halmashauri
·
 Kuhifadhi maisha na mali za mtu yeyote katika maeneno maalum
·
 Kulisaidia Jeshi la Polisi kuhifadhi Sheria na utengamano katika maeneno maalum
·
 Kusaidia Halmashauri katika masuala ya kuhifadhi Sheria katika
· kutekeleza masuala/kazi kama ilivyoainishwa katika Sheria za Nchi
 Kuendesha shughuli za uhifadhi wa Sheria kama itakavyokuwa imeelekezwa na Inspekta Jenerali wa Polisi
·
 Kufanya kazi zingine kama atakavyopata maelekezo ya utendaji kutoka ngazi za juu za uongozi wa Polisi na Halmashauri.
·
104.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Awe amefaulu kidato cha nne Form IV
·
 Kuajiriwa wenye sifa njema na asiwe na makosa ya Jinai
·
 Awe anajua kusoma na kuandika Kiswahili na Kiingereza
·
104.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TPSW 1 kwa mwezi.
105.0 MKUFUNZI MWANDAMIZI DARAJA II - NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
105.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanafunzi wa mwaka 3 (NTA level 6)
·
 Kusimamia mitihani ya wanafunzi wa mwaka wa 3
·
 Kutayarisha na kuhuisha Mitaala ya chuo
·
 Kusimamia mafunzo ya vitendo
·
 Kusimamia wanafunzi walioko chini yake
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa Idara
·
105.1.1 SIFA ZA MWOMBAJI
 Shahada ya Uzamili katika fani Sanaa za Ufundi na Sanaa za Maonyesho (Muziki)
·
 Awe amesajiliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Vyuo vya Ufundi (NACTE) mwenye uzoefu wa kazi wa miaka mitatu (3).
·
64
105.1.2 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani PTSS 13 -14 kwa mwezi.
105.2 MKUFUNZI DARAJA I - NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
105.2.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanafunzi wa mwaka wa 3
·
 Kusimamia mitihani ya matendo kwa wanafunzi wa mwaka wa 3 (NTA level 6)
·
 Kushiriki katika utafiti na kazi za ushauri
·
 Kuandaa nyenzo za kufundishia
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa Idara.
·
105.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Shahada ya kwanza katika fani ya Sanaa za Ufundi na Sanaa za Maonyesho
· (Muziki) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali mwenye uzoefu wa kazi wa miaka mitatu (3).
105.2.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani PTSS 12 kwa mwezi.
105.3 MKUFUNZI DARAJA II - NAFASI 2
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
105.3.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanafunzi wa mwaka wa 3 (NTA evel 6)
·
 Kusimamia mitihani ya wanafunzi wa mwaka wa 3
·
 Kuendesha, kusaidia utafiti na kazi za ushauri
·
 Kutayarisha nyenzo za kufundishia
·
 Kusimamia mafunzo ya vitendo
·
 Kusimamia wakufunzi walioko chini yake
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopewa na mkuu wake wa Idara
·
105.3.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Awe na Shahada ya kwanza katika fani ya Sanaa za Ufundi na Sanaa za
· Maonyesho (Muziki) kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali mwenye uzoefu wa kazi wa miaka mitatu (3).
105.3.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani PTSS 10-11 kwa mwezi.
105.4 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA I - NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
65
105.4.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanafunzi wa mwaka wa Pili (NTA level 5)
·
 Kusimamia mitihani ya matendo kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu (NTA level 6 )
·
 Kushiriki katika utafiti na kazi za ushauri
·
 Kuandaa nyenzo za kufundishia
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa Idara
·
105.4.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Mwenye Stashahada katika fani ya DANSI Sanaa kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali
·
105.4.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani PTSS 9 kwa mwezi.
105.5 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA II - NAFASI 1
Nafasi hii ni kwa ajili ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA)
105.5.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufundisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza (NTA level 4)
·
 Kusimamia mitihani ya matendo kwa wanafunzi wa mwaka wa 1(NTA kevek 4)
·
 Kushiriki katika utafiti na kazi za ushauri
·
 Kuandaa nyenzo za kufundishia
·
 Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa Idara
·
105.5.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Mwenye Stashahada katika fani ya Sanaa (Densi) au nyingine inayofanana na hiyo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali
·
105.5.3 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani PTSS 7 kwa mwezi..
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania.
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
66
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. “Transcripts”, “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45.
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA MAENEO MENGINE.
xiii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Juni, 2012
xiv. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.